stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,920
Wana JF
Mimi mwenzenu nina mtoto mmoja tu, na huu ulikuwa ni mpango wa mimi na mke wangu kabla hata hatujaoana. Mtoto wetu sasa ni mkubwa ana miaka 14, I am not regreting for that and we are all quite happy.
Sasa kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwa kama kero, yaani nikutana na ndugu, marafiki, ninapokuwa kazini na hata watu wangine tu nisio na uhusiano nao wa karibu wamekuwa wakinilaumu mimi hata mke wangu "kwanini mmezaa mtoto mmoja tu si muongeze angalau mwingine"!
Hili neno kwangu sasa naona ni kama kero. Hebu nishaurini jamani, hawa watu niwape majibu gani ili niwaridhishe?
Mimi mwenzenu nina mtoto mmoja tu, na huu ulikuwa ni mpango wa mimi na mke wangu kabla hata hatujaoana. Mtoto wetu sasa ni mkubwa ana miaka 14, I am not regreting for that and we are all quite happy.
Sasa kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwa kama kero, yaani nikutana na ndugu, marafiki, ninapokuwa kazini na hata watu wangine tu nisio na uhusiano nao wa karibu wamekuwa wakinilaumu mimi hata mke wangu "kwanini mmezaa mtoto mmoja tu si muongeze angalau mwingine"!
Hili neno kwangu sasa naona ni kama kero. Hebu nishaurini jamani, hawa watu niwape majibu gani ili niwaridhishe?