For NO.1 am sorry that's too private,for NO.2 yaani kwa mapenzi tuliyonayo kwa mtoto wetu hakuna anaefikiria kuongeza mwingine kwani ni mambo ambayo huwa tunayaongea na hakuna anayejilaumu pia financially tunaona tunachokipata kinatosha kabisa kumtunza yeye (sasa na baadaye) na kuongeza mwingine ni kama kuharibu trend ambayo tumemuandalia,tuanapoona mtu ana kichanga tunaona tu ni wa-kwake kwani kwetu sisi ni stage ambayo tumeshaipitia na hatuhitaji tena kuirudia.for NO.3 wazo la kuwa na mtoto moja lilikuwa ni la kwangu na sukujali atakuwa wa jinsia gani,kwa mke wangu yeye alikuwa na option ya jinsia,kama angezaliwa wa jinsia hii.... itabidi tuongeze ili tupate wa jinsia anayoitaka ,ila kama takuwa wa jinsia ile aliyoitaka yeye alisema hatahitaji mwingine,luck enough akazaliwa wa jinsia aliyokuwa anaitaka na hapo ndio tukamaliza mchezo.
queenkami tena asikudanganye mtu kuna mama yangu mkubwa alikuwa amezaa watoto wengi, sa kila aliye kuwa akizaa watu wakija muona anasema huyu atakuwa doctor, huyu pilot huyu mwalimu na Masha Allah wote wamekuwa vile.huko uingereza kuna mama ana watoto 15 na anadai anataka wafikie 20.
Anadai yeye alizaliwa peke yake hivyo akawa mpweke wakati wa utoto hana hata mtu wa kucheza naye.Pia anadai alivyokuwa msichana alitegemea company ya marafiki na ikitokea yeye na best friend wake wamegombana anaishia kuwa mpweke sababu mama yake sio wa rika lake hivyo.
Anyway ni maisha yako mkuu,unaweza kuzaa wengi Mungu akawaita wote akabakia mmoja tu.
Mimi binafsi ningependa japo wawili watoto wangu wawe na mtu wakumuita dada au kaka,ndugu wa kuzaliwa naye tumbo moja hawezi kulingana na mpwa wala binamu.
ishi vile utakavyo na si kama watu watakavyo.
FAZA mama yako ana bahati.queenkami tena asikudanganye mtu kuna mama yangu mkubwa alikuwa amezaa watoto wengi, sa kila aliye kuwa akizaa watu wakija muona anasema huyu atakuwa doctor, huyu pilot huyu mwalimu na Masha Allah wote wamekuwa vile.
Tatizo kubwa la wabongo ni life expectancy iko chini mno, yaani wanakuonea huruma in case of anything!
queenkami Inategemea unalea vipi watoto zako, kama uanwalea kwa ujambazi yataishia kuwa majambazi...ukiwalea kielimu wataishia kuwa wana elimu..Ikiwalea ki dini watakuwa wafata dini, ukiwalea kama wanavyo lea wahuni wataishia kuwa wahuni.FAZA mama yako ana bahati.
maana hapo juu kuna mtu nimeona kasema ukizaa wengi wanaishia kuwa majambazi na kuzalishwa hovyo.
Wana JF mimi mwenzenu nina mtoto mmoja tu,na huu ulikuwa ni mpango wa mimi na mke wangu kabla hata hatujaoana,mtoto wetu sasa ni mkubwa ana miaka 14,am not regreting for that and we are all quite happy,sasa kinachonishangaza mimi ni kuwa inakuwa kama kero,yaani nikutana na ndugu,marafiki,ninapokuwa kazini na hata watu wangine tu nisio na uhushiani nao wa karibu wamekuwa wakinilaumu mimi hata mke wangu "kwanini mmezaa mtoto mmoja tu si muongeze angalau mwingine",hili neno kwangu sasa naona ni kama kero kwangu,hebu nishaurini jamani hawa watu niwape majibu gani ili niwaridhishe.
I've born alone and I'm supporting myself and my family, I'm also happy to be alone.