Hata sisi wanaume hatujielewi sio siri. Kuna siku nilimsaidia wife kufungua acc ya fb jamaa akaiangia inbox nikiwa na simu ikabidi nimpange wife tena mda huo wife kazi anafanya tra kwene profile. Wakapeana namba haki wanatongozana nikiwepo mbavu sina. Jamaa kumbe ni mkenya na vihela vyake akadata kwa mke wangu, wooi ndugu yangu jamaa kila mda beb umekula anaambiwa no, muamala wa 50k lunch, akitumiwa photo wasp 100k ni ya kufikia na bila wasi wasi wife akamwambia akipata nafasi au akipata off hata ya 2weeks ataenda kumpa mbususu. Jamani jamani ikabidi tufoji barua ya off coz kuna mdada alikuwa anafanya tra wa ukweli akaichapisha hadi jina ni la wife na mihuri kama yote, huo ndo utapeli wangu wakwanza na wa mwisho tangu nizaliwe coz jamaa alimtumia wife tshs2.5m from kenya ati ni nauli na matumizi hadi afike huko tena anamsisitiza ikipungua atamuongezea nyingne ikabidi jamaa aongeze 500k ati sasa wife atumie ndege. Hadi wa leo wife anabaki kucheka tu acc ilifutwa namba ni kubadilisha na block kila pahali.