Ujinga tutaacha lini?

Ujinga tutaacha lini?

Mopak

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2024
Posts
2,501
Reaction score
5,352
Hii kazi ya mtu kupost kitu JF mnaanza kusema huyu ni mwanamke anakuja kiume, cjui ni mwanamme anakuja kike kike muache. Mfano mim ni me afu mtu kabisa na akili zake anasema mimi n dem pumbavu zenu. Hiyo sensor ya kuhesabu wanaume na wanawake nani kawapa? Kama huna cha kukoment achana nayo na sio kuleta mambo ya kidwanzi mbele zangu vichwa mandazi nyie.

Leta mapovu yenu niwatoe nyoro hapa. Akili mnajitoa hambakizi hata za kuvukia barabara. Hapa hakuna mtu anamnunulia mtu simu au bundle aje jf kupangiwa cha kupost mbwa nyie.
 
kuna watu walishapanga kukutana sijui mburahati kama sikosei kwenda kuoneshana nani zaidi baada ya kuchuana jukwaani, sijui ilikuwa kweli au multiple IDs
Multiple Id kama ilivyokua kwa story ya 7800 MaghalaR na cute love

 
Multiple Id kama ilivyokua kwa story ya 7800 MaghalaR na cute love

Wale wa kupigana kabisa
 
Wale wa kupigana kabisa
Waongo hao
 
Waongo hao
yeah this one, jf ina mabedui kuna watu sasa hivi wanajifanya vichwa ngumu sasa hivi hawajui kuna waliopindaga na yao yalipita vilevile
 
Back
Top Bottom