Kuweka lami barabara ya Iyegeya hadi Sawala ila Mgololo highway haina lami sio poa!

kati ya wabunge mizigo kigolla ni among of them

Miaka yote mitano ya Magufuli alikuwa busy kuufukuzia uwaziri ili aendelee kuneemeka. Alishindwa kabisa kulipigania Jimbo na Wananchi wenzake wa Mufindi Kusini.

Ngoja tusubiri tuone zile kura zake 8 alizopewa na 'Wajumbe' kama zitambeba kwenye maamuzi ya mwisho ya chama chake.

Ila kiuhalisia Serikali ya Ccm ina utani sana. Barabara ya kutoka Nyololo Igowole Kibao Sawala mpaka Mgololo, na ile ya kutoka Mafinga Sawala mpaka Mgololo, zilistahili muda kuwekwa lami au hata 'zege' kutokana na utajiri unaoiletea Nchi!

Lakini miaka yote hakuna kitu huku 'upembuzi yakinifu' ukiwa umeshafanyika tangu mwaka 2014!
 
Miaka yote mitano ya Magufuli alikuwa busy kuufukuzia uwaziri ili aendelee kuneemeka. Alishindwa kabisa kulipigania Jimbo na Wananchi wenzake wa Mufindi Kusini.

Ngoja tusubiri tuone zile kura zake 8 alizopewa na 'Wajumbe' kama zitambeba kwenye maamuzi ya mwisho ya chama chake.

Ila kiuhalisia Serikali ya Ccm ina utani sana. Barabara ya kutoka Nyololo Igowole Kibao Sawala mpaka Mgololo, na ile ya kutoka Mafinga Sawala mpaka Mgololo, zilistahili muda kuwekwa lami au hata 'zege' kutokana na utajiri unaoiletea Nchi!

Lakini miaka yote hakuna kitu huku 'upembuzi yakinifu' ukiwa umeshafanyika tangu mwaka 2014!
Kigolla alijimilikisha plot za miti saohill enzi ni naibu waziri ilikuwa kila plot utayoingia ni ya kigolla

Mpaka watoto under 17 nao kajimilikisha plot kwa majina yao

Alivokuja mzee Kinana kwenye ziara wakampokonya karibu plot zote
 
Braza namfahamu Kilamulya kuliko wewe possible kuna Kilamulya mkubwa baba yake wa akina Monde(Huyu dogo anaingia kwenye siasa mwaka huu) alikuwa anaishi Sawala Magengeni ambae alikuwa tajiri miaka hiyo ila siku hizi nasikia amechuja baada ya kuhama kijiji na kuna Kilamulya mdogo wa njiapanda ya Lupeme huyu alikuwa na pesa sana enzi hizo za mwanzoni mwa 2000s (ndio watu wa mwanzo mwanzo kudrive Prado huku) siku hizi hata akina Maula wamemzidi...hiyo Sawala mpaka Ziroziro hunidanganyi hata tone ni mitaa nayoijua saaana kuanzia Kalinga,Sawala Kati,Njiapanda ya Lupeme,Kitiru,Nyangugulu kwa akina Kipambe Sanga matajiri wa enzi hizo...nk nk zamani kipande hicho alikuwepo guru wa mabasi ya abiria alikuwa anaitwa Mvemba aliuawa kwa risasi sababu ya ujanja ujanja...wengine kwenye usafirishaji wanaitwa akina Likikima,akina Nyenza wa Nyangugulu nk nk....nayajua hayo maeneo tangu enzi za Kojifa,SPM na sasa MPM kijiwe changu wakati huo kilikuwa hapo Ofisi za kijiji kwa mama Sayuni!!! Nina mashamba huko Sawala,gereji na biashara ya mbao. Na nimesoma SM Sawala miaka hiyo japo nilisoma muda mfupi.

Leta swali!
Bela ipoo veve u mwenyeji sanaaaaa
 
Back
Top Bottom