Picha: Lini barabara ya Mafinga-Mgololo ikawekwa lami?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,532
Hivi leo barabara za vijiji vya ndani kv Sawala-Mninga imewekwa lami nimeenda hivi juzi barabara ya Sawala-Luhunga inawekwa lami LAKINI barabara kuu ya MAFINGA-MGOLOLO kiliko Kiwanda pekee na Kikubwa cha Karatasi kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati hakuna lami.

Barabara hii pia inahudumia viwanda vingi zaidi ya VITANO vya Hardboard/Plywood pia kuna mazao ya Miti kwa wingi; kuna viwanda takribani VITANO vya Chai.

kuna mazao ya Chakula lukuki na orchards kv Maparachichi na Ma apple yanayolisha miji yetu TZ nk lakini kwa MIONGO kadhaa AHADI zisizotekelezwa za kuweka lami zimekuwa zikitolewa na FEASIBILITY STUDIES kufanywa mara nyingi na TANROADS lakini lami haiwekwi.

WAKAZI WA MUFINDI vijiji vya Luganga,Itulavanu,Mtili, Sawala,Mtwango, Ziroziro nk TUNAULIZAAA ni lini Serikali mtaweka lami barabara hii!?

Hizi picha nilipiga Njiapanda ya LUPEME barabara ya ndani huko kwenda LUHUNGA inaandaliwa kuwekwa lami lakini barabara kuu hiyo ya mkono wa kulia iendayo MGOLOLO PAPER MILLS bado haiwekwi lami WHY jamani WHY?

Mbunge wa huku ujitathmini LAMI isipokuja hadi 2025 sisi kama wananchi wa Mufindi tutajua nini cha kufanya.

Utafurahi yaani.
20211002_142245.jpg
20211002_142201.jpg
20211002_142210.jpg
 
Sik
Mufindi ilikuwa nzuri zamani. Ilikuwa ya Kizungu. Enzi za Brooke Bonde na MTC, kama Ulaya, Usafi wa mashamba yao, Umwagiliaji n.k. Bustani zao, Viwanja vya michezo n.k
Siku hizi hakuna kitu hakuna Lugoda Golf course tena, hakuna MTC ya nyama za bomba wala mashamba yaliyofanyiwa tipping vizuri, hakuna Stone Valley ile iliyovuta watalii...hakuna mabwawa masafi wala makambi mazuri...all good is gone. Mbongo ni mbongo tu.
 
Sik

Siku hizi hakuna kitu hakuna Lugoda Golf course tena, hakuna MTC ya nyama za bomba wala mashamba yaliyofanyiwa tipping vizuri, hakuna Stone Valley ile iliyovuta watalii...hakuna mabwawa masafi wala makambi mazuri...all good is gone. Mbongo ni mbongo tu.
Hakuna research ya kwa nini mambo hatuyawezi? Ni dalili kuwa hata future yetu ni mbovu sana. Itafuta kizazi bora cha Kitanzania!
 
Hivi leo barabara za vijiji vya ndani kv Sawala-Mninga imewekwa lami nimeenda hivi juzi barabara ya Sawala-Luhunga inawekwa lami LAKINI barabara kuu ya MAFINGA-MGOLOLO kiliko Kiwanda pekee na Kikubwa cha Karatasi kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati hakuna lami.

Barabara hii pia inahudumia viwanda vingi zaidi ya VITANO vya Hardboard/Plywood pia kuna mazao ya Miti kwa wingi; kuna viwanda takribani VITANO vya Chai.

kuna mazao ya Chakula lukuki na orchards kv Maparachichi na Ma apple yanayolisha miji yetu TZ nk lakini kwa MIONGO kadhaa AHADI zisizotekelezwa za kuweka lami zimekuwa zikitolewa na FEASIBILITY STUDIES kufanywa mara nyingi na TANROADS lakini lami haiwekwi.

WAKAZI WA MUFINDI vijiji vya Luganga,Itulavanu,Mtili, Sawala,Mtwango, Ziroziro nk TUNAULIZAAA ni lini Serikali mtaweka lami barabara hii!?

Hizi picha nilipiga Njiapanda ya LUPEME barabara ya ndani huko kwenda LUHUNGA inaandaliwa kuwekwa lami lakini barabara kuu hiyo ya mkono wa kulia iendayo MGOLOLO PAPER MILLS bado haiwekwi lami WHY jamani WHY?

Mbunge wa huku ujitathmini LAMI isipokuja hadi 2025 sisi kama wananchi wa Mufindi tutajua nini cha kufanya.

Utafurahi yaani.
View attachment 1968061View attachment 1968066View attachment 1968069
Pale kodi za tozo zitakapotosheleza maana hiyo lami inahitaji hela!
 
Hakuna research ya kwa nini mambo hatuyawezi? Ni dalili kuwa hata future yetu ni mbovu sana. Itafuta kizazi bora cha Kitanzania!
Siyo hapo tu ukienda Chivanjee Tea Farms/Factories kule Rungwe utagundua kwamba tangu mzungu George Williamson aachane na uwekezaji wa kutunza na kuwekeza kwenye yale mashamba biashara imekuwa hohehahe yale mashamba kapewa Mo wa Simba kashindwa kuyameneji kwa tija kiwanda cha Msekela moja miongoni mwa viwanda alivyoviweza kwelikweli Wiliamson huyu jamaa kachemsha kama anavozingua kwenye mashamba ya Katani huko Tanga....Ukienda Uyole Kilimo enzi za wazungu pale palikuwa na mamifugo yana afya hatari...mashamba pale yalinawiri ila siku hizi hakuna kitu mambo yamekuwa hoiiiiii.....sidhani kama tunahitaji utafiti tatizo letu kubwa ni ubinafsi uliopindukia wee ona mashirika ya umma yalivyokufa kimazabemazabe ukisoma kitabu cha Mzee Rukhsa jinsi Mashirika ya Umma yalivyokufa aka SU utaelewa kwamba sisi ni wabinafsi sana; we ona runch za taifa zilivokuwa na whites zilifanya vizuri sana ila walivoachiwa wabongo kwishaaaaa ona Tanganyika Packers nk nk
 
Yaani barabara hii ya mafinga mgololo ni imeleta na inazidi leta mabilioni kila uchwao. Kila siku nikikaa hapa nyumbani mkonge si chini ya vipisi 3 kwa saa vilivyobeba mbao toka vijiji vya ndani hadi mafinga mjini.
Humu jf kuna uzi unacompare mafinga, kahama, Njombe kama miji inayokua sana
. Mafinga kama makao makuu ya wilaya inakua kutokana na uwekezaji mkubwa huko lkini kinachoniuma ni kuwa hii barabarani ni kama haionekani akati ndio imeleta sifa hizo.

Wamejiwekea kijilami toka jampeki hadi kwnye ofsi mpya za mafinga mji pale luganga tu hata jkt mafinga haijafika.

Inakera muyangu. Ambele mbifile about that.
 
Hivi leo barabara za vijiji vya ndani kv Sawala-Mninga imewekwa lami nimeenda hivi juzi barabara ya Sawala-Luhunga inawekwa lami LAKINI barabara kuu ya MAFINGA-MGOLOLO kiliko Kiwanda pekee na Kikubwa cha Karatasi kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati hakuna lami.

Barabara hii pia inahudumia viwanda vingi zaidi ya VITANO vya Hardboard/Plywood pia kuna mazao ya Miti kwa wingi; kuna viwanda takribani VITANO vya Chai.

kuna mazao ya Chakula lukuki na orchards kv Maparachichi na Ma apple yanayolisha miji yetu TZ nk lakini kwa MIONGO kadhaa AHADI zisizotekelezwa za kuweka lami zimekuwa zikitolewa na FEASIBILITY STUDIES kufanywa mara nyingi na TANROADS lakini lami haiwekwi.

WAKAZI WA MUFINDI vijiji vya Luganga,Itulavanu,Mtili, Sawala,Mtwango, Ziroziro nk TUNAULIZAAA ni lini Serikali mtaweka lami barabara hii!?

Hizi picha nilipiga Njiapanda ya LUPEME barabara ya ndani huko kwenda LUHUNGA inaandaliwa kuwekwa lami lakini barabara kuu hiyo ya mkono wa kulia iendayo MGOLOLO PAPER MILLS bado haiwekwi lami WHY jamani WHY?

Mbunge wa huku ujitathmini LAMI isipokuja hadi 2025 sisi kama wananchi wa Mufindi tutajua nini cha kufanya.

Utafurahi yaani.
View attachment 1968061View attachment 1968066View attachment 1968069
Si nilidhani mikoa iyo ya nyanda juu kusini "The basket" of Tanzania ni kijani, rotuba na misitu minene?!
 
Hivi leo barabara za vijiji vya ndani kv Sawala-Mninga imewekwa lami nimeenda hivi juzi barabara ya Sawala-Luhunga inawekwa lami LAKINI barabara kuu ya MAFINGA-MGOLOLO kiliko Kiwanda pekee na Kikubwa cha Karatasi kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati hakuna lami.

Barabara hii pia inahudumia viwanda vingi zaidi ya VITANO vya Hardboard/Plywood pia kuna mazao ya Miti kwa wingi; kuna viwanda takribani VITANO vya Chai.

kuna mazao ya Chakula lukuki na orchards kv Maparachichi na Ma apple yanayolisha miji yetu TZ nk lakini kwa MIONGO kadhaa AHADI zisizotekelezwa za kuweka lami zimekuwa zikitolewa na FEASIBILITY STUDIES kufanywa mara nyingi na TANROADS lakini lami haiwekwi.

WAKAZI WA MUFINDI vijiji vya Luganga,Itulavanu,Mtili, Sawala,Mtwango, Ziroziro nk TUNAULIZAAA ni lini Serikali mtaweka lami barabara hii!?

Hizi picha nilipiga Njiapanda ya LUPEME barabara ya ndani huko kwenda LUHUNGA inaandaliwa kuwekwa lami lakini barabara kuu hiyo ya mkono wa kulia iendayo MGOLOLO PAPER MILLS bado haiwekwi lami WHY jamani WHY?

Mbunge wa huku ujitathmini LAMI isipokuja hadi 2025 sisi kama wananchi wa Mufindi tutajua nini cha kufanya.

Utafurahi yaani.
View attachment 1968061View attachment 1968066View attachment 1968069
Toa pongezi kwa Rais harafu ndio ulete malalamiko..

Hiyo barabara itakengwa pia kwa lami chini ya mradi wa RISE na EU

Screenshot_20220202-213301.png


Screenshot_20220202-213312.png
 
Sik

Siku hizi hakuna kitu hakuna Lugoda Golf course tena, hakuna MTC ya nyama za bomba wala mashamba yaliyofanyiwa tipping vizuri, hakuna Stone Valley ile iliyovuta watalii...hakuna mabwawa masafi wala makambi mazuri...all good is gone. Mbongo ni mbongo tu.
Hata Chai yenyewe imeanza kukauka sasa Mufindi...
 
jokes"muache uchawi,haswa hicho Kijiji Cha mgololo",
Kuna Siri kubwa sana nahisi hii barabara haijengwi for a reason, believe me nimekaa mgololo kuna upigaji wa kimya kimya haswa mufindi paper,raia wa pale wananyonywa kwa kulipwa ujira wa 5000 kwa siku while mtu unakuta anafanya Kama mfanyakazi,inafahamika kabisa ni chini ya kima Cha chini Cha mshahara wa mfanyakazi wa tz,
Kuna madudu mengi yanaendelea pale kiwandani na wanakula wachache wa nchi,walichoamua kufanya ni kukata mawasiliano na pande nyingine za nchi.
Ukitaka kuchimba zaidi kile kiwanda kinaendeshwa kibubu kuzuia watu wenye midomo mirefu,ukifika mafinga hutokuta kibao Cha mufindi paper Mills Wala ukiwa makambako hutokiona.
Believe me watu wa mgololo watasubiri sana kupata rami
 
Hakuna barabaraba inayoingiza mabilion kwa mwez Kama hiyo...Nina mashamba yangu ya miti Huko mapanda na uchindile..hii barabara inatutesa Sana kusafirisha mbao na nguzo...
 
jokes"muache uchawi,haswa hicho Kijiji Cha mgololo",
Kuna Siri kubwa sana nahisi hii barabara haijengwi for a reason, believe me nimekaa mgololo kuna upigaji wa kimya kimya haswa mufindi paper,raia wa pale wananyonywa kwa kulipwa ujira wa 5000 kwa siku while mtu unakuta anafanya Kama mfanyakazi,inafahamika kabisa ni chini ya kima Cha chini Cha mshahara wa mfanyakazi wa tz,
Kuna madudu mengi yanaendelea pale kiwandani na wanakula wachache wa nchi,walichoamua kufanya ni kukata mawasiliano na pande nyingine za nchi.
Ukitaka kuchimba zaidi kile kiwanda kinaendeshwa kibubu kuzuia watu wenye midomo mirefu,ukifika mafinga hutokuta kibao Cha mufindi paper Mills Wala ukiwa makambako hutokiona.
Believe me watu wa mgololo watasubiri sana kupata rami
Nashangaa sana kwanini hakuna kibao cha hiki kiwanda Mafinga Mjini wala Nyololo...naanza kuamini huenda kuna kinachofichwa!
 
Yaani barabara hii ya mafinga mgololo ni imeleta na inazidi leta mabilioni kila uchwao. Kila siku nikikaa hapa nyumbani mkonge si chini ya vipisi 3 kwa saa vilivyobeba mbao toka vijiji vya ndani hadi mafinga mjini.
Humu jf kuna uzi unacompare mafinga, kahama, Njombe kama miji inayokua sana
. Mafinga kama makao makuu ya wilaya inakua kutokana na uwekezaji mkubwa huko lkini kinachoniuma ni kuwa hii barabarani ni kama haionekani akati ndio imeleta sifa hizo.

Wamejiwekea kijilami toka jampeki hadi kwnye ofsi mpya za mafinga mji pale luganga tu hata jkt mafinga haijafika.

Inakera muyangu. Ambele mbifile about that.
Kuna kanuni mbofu mbofu za wabongo, kujenga na kuimarisha mjini na kupasahau ama kupatelekeza shamba.

Sehemu za mashamba, mtu hata awe na pesa kiasi gani, utakuta kajenga kibanda mbavu za mbwa kati kati ya shamba linalomletea utajiri na riziki za kila aina.

Tuseme sasa kuwa, mind set za mtu mmoja mmoja, baadaye huleta taswira ya jamii na baadaye Taifa.

Kwa hiyo waTz tupo hivyo kutoyathamini maeneo ya uzalishaji.
 
Hata Chai yenyewe imeanza kukauka sasa Mufindi...
Tatizo irrigation systems nyingi ziko defunct....enzi hizo tuliziita legesheni yaani 'irrigation' siku hizi huoni ile beauty ya irrigation kama hiyo pichani ulikuwa utalii tosha.

Mabomba ya umwagiliaji yalikuwa yanatandazwa kwenye njia za chai zinazoitwa farm boundaries sasa wanyalu kwa kushindwa kutamka boundaries wanaita 'bendelesi' utasikia we leta bomba la legesheni kwenye bendelesi
images%20(15).jpg
 
Wakati Hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Bajeti ya 2022/23 PM usisahau barabara hii ya Mgololo Mafinga ni miaka mingi sana barabara hii haijengwi whhhyyyy
 
Back
Top Bottom