N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Barabara ya Mafinga Mgololo kwenye kiwanda cha karatasi imetelekezwa.
Barabara hii inazalisha sana kwa sababu huku inakoelekea kuna viwanda lukuki vikiwemo:-
1. Kiwanda cha Karatasi- Mgololo
2. Kiwanda cha Hardboard- Mgololo
3. Kiwanda cha Chai - Lugoda
4. Kiwanda cha Nguzo za Umeme- Mehrab
5. Mashamba ya Msitu wa Taifa wa kupandwa - Sao Hill
6. Kiwanda cha Chai- MTC Mufindi Tea Company
7. Mashamba ya Cinchona(miti ya kutengenezea dawa)
8. Hoteli ya Kitalii-Fox Tanzania
9. Kiwanda cha Chai - Kilima
10. Kiwanda cha Chai - Kibena
11. Uvunaji mkubwa wa mazao ya miti kv mbao, magogo ya nguzo za umeme na hardboard
12. Kilimo cha Parachichi
13. Kilimo cha Kahawa
14. Kiwanda cha Nguzo Mtili
15. Viwanda angalau viwili vya Hardboard vilivyopo Mtili
16. HQ ya Halmashauri ya Mufindi iliyopo Itulavanu
17. Kiwanda cha Chuma- Luganga
18. Taasisi mbalimbali za Elimu kv Igowole secondary, Madisi Secondary, Village Schools Sawala Chuo cha Ualimu Iyegeya nk
Nakadhalika
LAKINI ajabu ni kwamba kwa zaidi ya miaka 30 sasa ahadi ya kuiwekea LAMI hii barabara haitekelezwi.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan SISI wakazi wa MUFINDI hatuelewi ni kwanini barabara hili linaloanzia MAFINGA haliwekwi lami!?. Tunaomba uingilie kati wasaidizi wako wanakuangusha tuwekewe lami ili uzalishaji uwe na tija. BARABARA HILI NI BOVU SANA.
Na tunaomba litakapojengwa LIJENGWE kwa viwango sababu malori ya mizigo yanapita sana kwenye barabara hili MUHIMU mno kwa uchumi wa nchi yetu.
Barabara hii inazalisha sana kwa sababu huku inakoelekea kuna viwanda lukuki vikiwemo:-
1. Kiwanda cha Karatasi- Mgololo
2. Kiwanda cha Hardboard- Mgololo
3. Kiwanda cha Chai - Lugoda
4. Kiwanda cha Nguzo za Umeme- Mehrab
5. Mashamba ya Msitu wa Taifa wa kupandwa - Sao Hill
6. Kiwanda cha Chai- MTC Mufindi Tea Company
7. Mashamba ya Cinchona(miti ya kutengenezea dawa)
8. Hoteli ya Kitalii-Fox Tanzania
9. Kiwanda cha Chai - Kilima
10. Kiwanda cha Chai - Kibena
11. Uvunaji mkubwa wa mazao ya miti kv mbao, magogo ya nguzo za umeme na hardboard
12. Kilimo cha Parachichi
13. Kilimo cha Kahawa
14. Kiwanda cha Nguzo Mtili
15. Viwanda angalau viwili vya Hardboard vilivyopo Mtili
16. HQ ya Halmashauri ya Mufindi iliyopo Itulavanu
17. Kiwanda cha Chuma- Luganga
18. Taasisi mbalimbali za Elimu kv Igowole secondary, Madisi Secondary, Village Schools Sawala Chuo cha Ualimu Iyegeya nk
Nakadhalika
LAKINI ajabu ni kwamba kwa zaidi ya miaka 30 sasa ahadi ya kuiwekea LAMI hii barabara haitekelezwi.
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan SISI wakazi wa MUFINDI hatuelewi ni kwanini barabara hili linaloanzia MAFINGA haliwekwi lami!?. Tunaomba uingilie kati wasaidizi wako wanakuangusha tuwekewe lami ili uzalishaji uwe na tija. BARABARA HILI NI BOVU SANA.
Na tunaomba litakapojengwa LIJENGWE kwa viwango sababu malori ya mizigo yanapita sana kwenye barabara hili MUHIMU mno kwa uchumi wa nchi yetu.