Dada yangu mbona kuna wazinzi wanabadilisha kama nguo kwa week wasichana 14 lakini wapo sawa tu.Huyu atapanga zamu na pia ana option ya kutotenda baadh ya siku.Uyo Jamaa tuesabu miez mitatu tu alafu leta izo picha tuone alivyo baki skeleton [emoji102] chezea mashine NNE tata
Ukila vizuri na mazoezi unawakojoza vizuri tu.....watu kwawiki anapiga michepuko zaidi ya nne na afya ziko palepaleUyo Jamaa tuesabu miez mitatu tu alafu leta izo picha tuone alivyo baki skeleton [emoji102] chezea mashine NNE tata
Acha usengerema ww, mi kidume cha mbegu.Kazi kwako bibie lakini kwa wanaojiheshimu na kuheshimiana mambo shwari kabisa.
Evil at its best!
Samahani kiongozi unajuwa nilivyokuona " mpenda siri" nikajuwa mwanamke si wajuwa wanawake wanavyopenda siri? Samahani sana mkuuAcha usengerema ww, mi kidume cha mbegu.
Unafikiri watu wote ni wachovu kama wewe?Si kufaidi ni kufa huko.
Mmoja tu ni tatizo sasa wanne ni 4 pressures.Tumpe pole sana.
Kwanini agongewe?Lazma agongewe
Mmm anapiga atrik nn[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukila vizuri na mazoezi unawakojoza vizuri tu.....watu kwawiki anapiga michepuko zaidi ya nne na afya ziko palepale
Hahaa hapo ni wewe n pulling yko tu.....unawandindindii tuMmm anapiga atrik nn[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
mwanamke kama haridhiki haridhiki na hyo ujue ni tabia polygam haikuanza leo na ukithubutu utafanikiwaMimi naona kama MUME na WAKE watapata shida:
1. atawezaje kuwaridhisha wote kimapenzi?
2. inawezekanaje wote kupendwa sana na wakaelewana? familia nyingi za baba mmoja zinatawaliwa na chuki na uhasama wa chinichini kwa sababu ya wivu na kutokuelewana. mmoja ataona mwingine kapendelewa na kisha atanuna.
3. labda faraja ya wote ni kuwa dini yao inaruhusu Talaka pale hali itakapojuwa mbaya.
harufu kitu gani mkuu?,weka choklet ama vanilla syrup ,harufu kwisha.Maziwa ya ngamia yanafaida nyingi ila yana harufu flani ......arusha yko sana yanatoka bomangombe kila cku lita wanauza 6000
..........Mwinyi anapiga 92 years now ! kalagha bhahoo !Kifo kinamjia haraka kama mwendokasi...yaani
Anatafuta maradhi na kujizeesha mapema..
Ukiwa legelege hata ww mwenywe utajishindwa unaweza kudhibiti wake wa nne bila shaka tatizo ukimchukulia mke kuwa ndio kichwa cha familia instead of you ndio madhara yake utayaona m proud of having them two na inshallah soon I'll find the third one Tena mwenye Maini ya kutosha nifaidi dunia hii alahmdulillah
.......lazima upate stress, maana kila kitu ndo huyo huyo, akipata malaria sijui unakojoa wapi ?Wenzetu wa ijumaa kazi mnayo, mke mmoja tu hapa bongo anakupa stress kibao..mke wa pili,tatu,NNE.. Duh hataree..