Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Hopefully ana ngamia wakutosha.
Kuna documentary moja niliona, was very fascinating. Inadai ya kwamba maziwa ya ngamia inaongeza nguvu za kiume pamoja na kutibu magonjwa mengine.



Tuwasiliane mama na shida na wewe...
 
Hii nchi ndo ile mgombe alivutiwa nayo eee
Kuwait
 
Afadhali awakomeshe maana kuna wanawake uchwara wanafanya vituko alafu wanakuambia ukiwaacha huwez pata mwanamke mwingine.

Hongera sana kidume cha mbegu.
 
matokeo ya kuwa na pesa kupita kiasi ndio haya ... unakuwa na pesa then unashindwa pa kuzipeleka
 
Yanahitaji sana mjomba...Arusha sehemu gani?
Nenda pale msikiti mkuu wa bondeni .....kata uelekeo wa stendi kuu ya mabasi nyumba ya pili kushoto kwako ndio wanauza hapo pia uende saa 5 utakuna yameshafika
 
Back
Top Bottom