St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,994
- 5,233
Hopefully ana ngamia wakutosha.
Kuna documentary moja niliona, was very fascinating. Inadai ya kwamba maziwa ya ngamia inaongeza nguvu za kiume pamoja na kutibu magonjwa mengine.
Tuwasiliane mama na shida na wewe...