Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Umeona eeh kuna watu huwa wanaziponda midomoni tu, moyoni wanawaza wazipate wapi, namuwazia huyo jamaa mahari zake na hiyo harusi, hapa bongo unaanzisha kampuni nzima ya Transport na Scania za mtumba kama 8 hivi au 10
Hizo rangi acha tu ni ugonjwa wangu tosha... Ila kuzihudumia ndiyo yakupasa ujipange kisawasawa
 
Ukiwa legelege hata ww mwenywe utajishindwa unaweza kudhibiti wake wa nne bila shaka tatizo ukimchukulia mke kuwa ndio kichwa cha familia instead of you ndio madhara yake utayaona m proud of having them two na inshallah soon I'll find the third one Tena mwenye Maini ya kutosha nifaidi dunia hii alahmdulillah
Hongera Na kila la Heri.!
 
Saaafi kabisa mama ndo mmoja lakini sio mke ..ukae na mke mmoja amekua mama ako uyo?
 
Wasichana wapo kwa ajili yetu,tuwaoe tu jamani kadri uwezo wetu,tusiogope!!
 
Bwana mmoja huko Kuwait ameamua kuoa wake wanne kwa mpigo ili kumdhihirishia mtalaka wake kuwa bado yupo "sokoni".

Inasemekana mke wa jamaa huyo alimtishia mumewe kuwa hawezi pata mke wa kuoa zaidi yake baada ya kuachana.Jamaa akaamua kufanya kweli na kupiga "free kiki hadi nyavuni".[emoji2]
890849e7b0827686f34818f42b0dbe0f.jpg
 
mpeni miezi miwili,awezakumbuka usemi wa mkewe. Hivi nao mambo ya mlingotini yamo?(kwa babu)
 
Back
Top Bottom