Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Huyu dini yake ni ipi? Hata mwislamu huwezi kufunga ndoa kama hiyo haiswihi wasipotoshe uislamu. Hapo mke ni mmoja tu wengine wapambe na hakuna sheikh atafungisha ndoa kama hiyo. Uislamu inapinga udhalilishaji kama huo hapo atalala na yupi kwani ndoa haitimii mpaka consumation (kukutana kimwili) baada tu ya ndoa kufungwa kukutana na mkeo ni kuikamilisha ndoa. Kwa hiyo wote analala nao kitanda kimoja? Na hao ni binadamu gani wasiokuwa na wivu? Jamani vingine ni upotoshaji.
 
Dada yangu mariam abdallah rudi darasani uusome uislam hakuna udhalilishaji hapo hizo fikra zako hata hazipo kwenye dini
 
Allah amesema oeni mnaowapenda ktk wanawake wawili, watatu,na wa nne sasa sijajua nikipi unachopinga wewe hapo
 
Hapo ni mwendo wa kugonga ngozi kwa kwenda mbele. Kamasutra mpaka kucheee
 
ila yakiwa canned wala huwez kuiskia hiyo harufu.
zaman ndo yalikuwa maziwa kwa wengi wetu
 
Hopefully ana ngamia wakutosha.
Kuna documentary moja niliona, was very fascinating. Inadai ya kwamba maziwa ya ngamia inaongeza nguvu za kiume pamoja na kutibu magonjwa mengine.

Nimetumia sana hayo maziwa, niko vizuri maana napiga goli moja kwa kilomita kumi na saba
 
Umeona eeh kuna watu huwa wanaziponda midomoni tu, moyoni wanawaza wazipate wapi, namuwazia huyo jamaa mahari zake na hiyo harusi, hapa bongo unaanzisha kampuni nzima ya Transport na Scania za mtumba kama 8 hivi au 10
ni pesa kiasi gani mkuu?
 
Back
Top Bottom