Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Kuwait: Mwanaume aoa wanawake wanne kwa siku moja!

Uzuri dini yake inaruhusu na hao wanawake wenyewe wanaonyesha kufurahia ndoa yao
....Sio dini ndio imeruhusu, bali ni Mwenyezi Mungu.
'.........oeni katika mnao wapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. ......na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi (oa) mmoja tu.
Qur'an: 4:3.
 
yaaan ha

po ni kufaidi mautamu tuuuuuuuuuuuuu...............uzuri ni kwamba kila uchi una laza yake...sasa ebu fikiri mtu una choice ya kula vyakula vinne kwa siku???hutakufa kwa stress maana una watu wanne wote kwa ajili yako............leo utanusa kikwapa cha hadija...kesho unalalia paja la mariamu..keshokutwa unashika hipsi la mwanaisha maisha hayaaaaaaaaaaaaaa
Hahahahaaa!!
 
Ujue mkwanja jamaa anao,wadada hawakupendi bure bure tu dhubutuuu!!
 
Wanaume wa dar wa chips kuku mayai hawawezi shughuli za ya hao warembo kwa pamoja, Ila sie wanaume wa mkoani hio fursa tunaililia sana maana shughuli tunaiweza.
 
Ukiwa legelege hata ww mwenywe utajishindwa unaweza kudhibiti wake wa nne bila shaka tatizo ukimchukulia mke kuwa ndio kichwa cha familia instead of you ndio madhara yake utayaona m proud of having them two na inshallah soon I'll find the third one Tena mwenye Maini ya kutosha nifaidi dunia hii alahmdulillah

Upande huo huwa hakuna ndoa. Kuna maonyesho tu. Ujinga mtupu!
 
Back
Top Bottom