Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,047
- 3,784
Bwana mmoja huko Kuwait ameamua kuoa wake wanne kwa mpigo ili kumdhihirishia mtalaka wake kuwa bado yupo "sokoni".
Inasemekana mke wa jamaa huyo alimtishia mumewe kuwa hawezi pata mke wa kuoa zaidi yake baada ya kuachana.Jamaa akaamua kufanya kweli na kupiga "free kiki hadi nyavuni"
Inasemekana mke wa jamaa huyo alimtishia mumewe kuwa hawezi pata mke wa kuoa zaidi yake baada ya kuachana.Jamaa akaamua kufanya kweli na kupiga "free kiki hadi nyavuni"