Kuwachokoza CHADEMA na za maji taka labda utajuta maisha yako yoote mzee Wasira!!

Kasimba G

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
3,428
2,609
Baada ya Wasira kuanza siasa za maji taka mwisho wa siku zitamrudia mwenyewe kwa kuwa siasa za majitaka huwa zinabackfire! Sasa kwa emortions unaweza ukaanza,lakini siku zote zilizobaki duniani utabaki unajuta na kujilaumu.

Ukubwa siyo kukomaa sura, ila ni pamoja na hekima! Nadhani Wasira na wenzie wamekosa hekima ya uongozi, lakini majuto ni mjukuu, ukianza siasa hizo hata mambo uliyoyafanya na ukasahau utakumbushwa na unaweza kuidhalilisha familia yako, kama mtu zima laazima utafakari jambo kabla hujafanya au kama si hivyo uwe tayari kwa lolote.

Je Wasira uko tayari kwa lolote? Nadhani jibu ni ndio , ndio maana umelianza hili, ila usije ukafa kwa pressure!!! pole kwa kuanzisha kitu kigumu mzee Wasira.

Nawasilisha.
 
Alafu yakisemwa mazito kumuhusu yeye utamsikia Tendwa anaingilia kati na hoja ya kujenga chuki kwenye jamii.
Kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
 
Dawa waipeleke ile picha analala bungeni yani itakuwa imemmaliza kabisa. jitu zima ovyoo
 
Baada ya Wasira kuanza siasa za maji taka mwisho wa siku zitamrudia mwenyewe kwa kuwa siasa za majitaka huwa zinabackfire! Sasa kwa emortions unaweza ukaanza,lakini siku zote zilizobaki duniani utabaki unajuta na kujilaumu.

Ukubwa siyo kukomaa sura, ila ni pamoja na hekima! Nadhani Wasira na wenzie wamekosa hekima ya uongozi, lakini majuto ni mjukuu, ukianza siasa hizo hata mambo uliyoyafanya na ukasahau utakumbushwa na unaweza kuidhalilisha familia yako, kama mtu zima laazima utafakari jambo kabla hujafanya au kama si hivyo uwe tayari kwa lolote.

Je Wasira uko tayari kwa lolote? Nadhani jibu ni ndio , ndio maana umelianza hili, ila usije ukafa kwa pressure!!! pole kwa kuanzisha kitu kigumu mzee Wasira.

Nawasilisha.

Wasira hata akibreak air harufu yake inanafuu kuliko akili na hekima,Mungu alishamlaana ndiyo shetani akampa Uchawi.ULE USINGIZI WAKE NI UCHAWI AT WORK.ZEE HILI HAMNAZO KABISA.NGOJA SLAA AJE KUISHAMBARATISHA AKILI YA JIZEE HILI AMBALO LINGEKUWA BABA NINGELIKANA KIKATIBA.
 
Wasira hata akibreak air harufu yake inanafuu kuliko akili na hekima,Mungu alishamlaana ndiyo shetani akampa Uchawi.ULE USINGIZI WAKE NI UCHAWI AT WORK.ZEE HILI HAMNAZO KABISA.NGOJA SLAA AJE KUISHAMBARATISHA AKILI YA JIZEE HILI AMBALO LINGEKUWA BABA NINGELIKANA KIKATIBA.

Kamanda Lissu alisema "Ukiwa mnafiki ujanani, uzeeni lazima uwe mchawi"
Hili lizee limekua kwenye unafiki toka likiwa kijana, lazima litakua na hiyo sifa alotaja Lissu.
Halafu atarithiwa na Nepi. Mzee mzima hovyooooo!!
 
Dawa waipeleke ile picha analala bungeni yani itakuwa imemmaliza kabisa. jitu zima ovyoo

ha ha ha ha ha ha kweli yaani Wassira sijui hii jeuri kaitoa wapi,hivi CDM wakienda na ile picha yake wakawaambia wana-Arumeru kuwa hiyo ndiyo kazi ya wabunge wa CCM kulala bungeni hivi mgombea wao atasalimika kweli?
 
hivi Inakuwaje unakubali mtu kama WASIRA aje akuombee kura kwa wananchi? kwamaneno yakejeli aliyoyatoa yaani ninavyotamani viongozi wachadema wagawe kwa wananchi zile picha zake alizosinzia bungeni Iliwananchi waelewe Ilivyo hatari kumchagua mbunge wa ccm kwani bungeni kazi yao kugonga meza na kusinzia....wana arumeru eleweni CCM pamoja na serikali yake sio watu makini jiulizeni kama alishindwa baba kutatua kero za maji na ardhi je' mtoto ataweza......ngastuuuuuuuuuuuuuka?
 
Wassira(2).jpg


wassira.jpg


TR+8.JPG


HAPA ANACHEKA
waziri%2Bshukuru%2Bkawambwa%2B%2528kulia%2529%2Bakipongezana%2Bna%2Bwaziri%2Bstephen%2Bwassira.JPG


IMG_0643.jpg

2011-6-24-4-34-27_m1.jpg
 
Wasira inaonekana amekosa radhi toka kwa wakongwe wake..mzee mzima sura pekupeku na bado anajileta kama vile anapendwaaaa kwa taifa hili..
CCM wamejichanganya kuanzia kila mwenye rangi ya kijani..mganga wenu wa bagamoyo kwishiney
 
Yanayosemwa na wassira yanahitaji uchunguzi kubaini ukweli

Hakuna ukweli wowote.Dr Slaa ameacha upadri mwenyewe kwa kufuata taratibu zilizopo katika kanisa katoliki.I am a catholic and i know this.Procedures zote amezifuata na wala hakufukuzwa.Aliaminiwa sana na TEC hadi kupewa wadhifa huo wa katibu wa TEC.Suala la upadri au uana ndoa ni wito ambao ni namna mtu anataka kuishi maisha yake,ni uhusianpo wake na Mungu.Ukiamua kwa ari yako kutoka kwenye upadri ni ruksa.

Dr Slaa sio mnafiki,kuna watu wengi wanaishi kwenye upadri lakini wanavunja taratibu.Yeye ameamua kuwa wazi na kuamua kutoka.
 
Wasira hata akibreak air harufu yake inanafuu kuliko akili na hekima,Mungu alishamlaana ndiyo shetani akampa Uchawi.ULE USINGIZI WAKE NI UCHAWI AT WORK.ZEE HILI HAMNAZO KABISA.NGOJA SLAA AJE KUISHAMBARATISHA AKILI YA JIZEE HILI AMBALO LINGEKUWA BABA NINGELIKANA KIKATIBA.

Teh teh teh! Kwi kwi kwi kwi! Aaah nawahi bar!
 
Baada ya Wasira kuanza siasa za maji taka mwisho wa siku zitamrudia mwenyewe kwa kuwa siasa za majitaka huwa zinabackfire! Sasa kwa emortions unaweza ukaanza,lakini siku zote zilizobaki duniani utabaki unajuta na kujilaumu.

Ukubwa siyo kukomaa sura, ila ni pamoja na hekima! Nadhani Wasira na wenzie wamekosa hekima ya uongozi, lakini majuto ni mjukuu, ukianza siasa hizo hata mambo uliyoyafanya na ukasahau utakumbushwa na unaweza kuidhalilisha familia yako, kama mtu zima laazima utafakari jambo kabla hujafanya au kama si hivyo uwe tayari kwa lolote.

Je Wasira uko tayari kwa lolote? Nadhani jibu ni ndio , ndio maana umelianza hili, ila usije ukafa kwa pressure!!! pole kwa kuanzisha kitu kigumu mzee Wasira.

Nawasilisha.
Ukubwa siyo kukomaa sura ni pamoja na hekima. Lakini pia ilisemwa hapa kuwa mkubwa akichoka akili hubwabwaja. Sasa hivi yanabwabwaja tu kunonesha kuwa wamepitiliza kun'gan'gania madaraka.
 
Baada ya Wasira kuanza siasa za maji taka mwisho wa siku zitamrudia mwenyewe kwa kuwa siasa za majitaka huwa zinabackfire! Sasa kwa emortions unaweza ukaanza,lakini siku zote zilizobaki duniani utabaki unajuta na kujilaumu.

Ukubwa siyo kukomaa sura, ila ni pamoja na hekima! Nadhani Wasira na wenzie wamekosa hekima ya uongozi, lakini majuto ni mjukuu, ukianza siasa hizo hata mambo uliyoyafanya na ukasahau utakumbushwa na unaweza kuidhalilisha familia yako, kama mtu zima laazima utafakari jambo kabla hujafanya au kama si hivyo uwe tayari kwa lolote.

Je Wasira uko tayari kwa lolote? Nadhani jibu ni ndio , ndio maana umelianza hili, ila usije ukafa kwa pressure!!! pole kwa kuanzisha kitu kigumu mzee Wasira.

Nawasilisha.
Inaonekana wasirra amewashika CDM pabaya sana , ukisoma thread zote Leo humu jf Wanamaker CDM wanalalamika na kulia lia km watoto. Kaza buti wasirra ulipowashika ndipo hapo hapo wala hujakosea
 
Back
Top Bottom