mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Ndugu zangu wa damu msishangae wasira kuropoka!huyo hana akili hata kidogo....kwanini nasema hivyo!alishawahi kuwa na akili zake kama jinsi ninji mlivyo na akili enu...aliwahi kuwa mpinzani na akashinda ubunge....warioba kamng'oa na akarudi ccm tangu hapo akawa zuzu la kutetea ujinga na hata leo ccm wanamtumia kama sanamu...yeye na mwigulu ni masanamu na mwisho wa siku watakuja kujuta kama nape ambaye leo anajaribu kuvua usanamu hawezi...shame on that ape wasira......