festo kitumbu
Member
- Jun 30, 2013
- 6
- 1
Jamani ni kweli kupeana ujuzi wa kuwa wajasiliamali. Kwa kifupi nianze hivi.
tunapo taka kufanya jambo haijarishi lina faida ndogo au kubwa lazima kwanza tuishirikishe mioyo yetu. Waweza pewa detail za kutosha jinsi ya kuanza mradi wa kuku na faida ikawa kubwa kwa kusoma makaratasi au makara mbalimbali. Hivyo unavyo soma au unavyo ambiwa sivyo ilivyo kwako au itakavyo kuwa kwako. Wewe itakuwa tofauti. Na kama hujawahi kufuga hata kuku mmoja ukamtunza usilaumu hayo makaratasi au maneno. Wanao paswa kutumia hayo makaratasi ni waliothubutu kwa kiasi fulani na sasa wanapanda nngazi. Si kwa wewe unaye fikiri iwe hivyo.
aksanteni nitarudi kwa somo dogo.
tunapo taka kufanya jambo haijarishi lina faida ndogo au kubwa lazima kwanza tuishirikishe mioyo yetu. Waweza pewa detail za kutosha jinsi ya kuanza mradi wa kuku na faida ikawa kubwa kwa kusoma makaratasi au makara mbalimbali. Hivyo unavyo soma au unavyo ambiwa sivyo ilivyo kwako au itakavyo kuwa kwako. Wewe itakuwa tofauti. Na kama hujawahi kufuga hata kuku mmoja ukamtunza usilaumu hayo makaratasi au maneno. Wanao paswa kutumia hayo makaratasi ni waliothubutu kwa kiasi fulani na sasa wanapanda nngazi. Si kwa wewe unaye fikiri iwe hivyo.
aksanteni nitarudi kwa somo dogo.