falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
MFANO hao kuku 10 wakiwa wanataga yai moja kila siku na kila mmoja, unaweza kupata mayai mangapi kwa siku Ndugu??Ni kuku ganiwa kienyeji 10 watoe mayai 8 kwa Sikh mwandishi so mkweli . hajawahi kufuga
Na mimi nahitaji ushauri kuhusu ufugaji wa kukuNajarbu Mungu anismamie
Halafu unakuta jamaa hajawahi kufuga hata ndevu,,,namcheki tu kisha nasema hiiiii!!!Ufugaji wa motiveshen spikaz ni mwepesi mno
Mkuu huoni kama unaingilia haki ya kikatiba ya wanyama kwa kumpora kuku uzao wake kila mara, ulaya unafungwa kwahio kesi!Ni. Kweli mkuu jamaa ameshindwa kuchanganua labda kacopy sehem ukiwa na kuku 10 mitetea na jogoo 1 ukawalisha vizuri chakula chenye mchanganyiko wa
Mashudu
Damu
Chokaa
Mfupa
Pumba
Kwa muda wa week 2 wataanza kutaga lets say kila kuku akitamia mayai 100
Baada ya kutotoa week 1 baadae unawanyanganya vifaranga kwa mama zao. Hao vifaranga unawapa chakula cha vifaranga huwa kinauzwa maduka y vyakula kilo moja sh 1500 huku ukiwapatia joto kwa taa ya umeme au chemli!
Hao mitetea uliowanyanganya vifaranga wakila vizuri chakula chenye mchanganyiko maalum nilioelezea hapo juu ndani ya week 2-3 wataanza kutaga tena na kuatamia wakitotoa baada ya wee1 unawanyanganya Tena vifaranga!
Fanya hivyo kwa miez 6 utakua na kuku wenhi
Inawezekana, ila ndio gharama. Mfano una matetea 10 yakitaga kwa pamoja Na kuku wa kienyeji anataga mayai 15-20 maana yake unaokota mayai 150 -200 na mayai yanayofaa kutotoleshwa hayatakiwi kuvuka siku 12. Hivyo Siku 12 Za kwanza Mara mayai 10 kila siku ni mayai 120 unapeleka kwa mtotoleshaji Mwenye incubator. Usipomuatamisha kuku ndani ya wiki mbili mpaka tatu anaanza tena kutaga. Hivyo katika miezi mitatu unaweza kufikisha vifaranga 300.Mkuu are You serious kuku wa kienyeji 11 ndani ya miezi 3 utakuwa na kuku 300+ ???
Uongo sio kitu kizuri kabisa.... Nataka nifanye utafiti kwa kukutembelea najua utakuwa na record ya kuku wa kuanzia 11 then tuone hadi sasa una kuku wangapi????
Inawezekana lakini ni vizuri zaidi wakapata kaeneo ka kukimbia Kimbia na kuoga mchanga. Unaweza kuzungushia nyavu kidogoHiv kuku wa kienyej unaweza uka wafuga kwa Ku wafungia ndan kama hawa kuku wa kizungu" maana Nina vyumba viwili dabo vipo tupu
Kuku wa kienyeji hafikishi mayai 30Jamani nikweli kwamba kuku wa kienyeji anatanga siku 30 mfululizo? mbona tuliokijijini tungekuwa matajili sana. acheni fix watoto wa mjini.
Kutaga kila siku anaweza.. swali ni kwa siku ngapi... sijaona kuku pure wa kienyeji akitaga mayai 30Ndio mkuu, kuku kutaga ni lishe tu.
na sio kutaga tu, hata kumuuz akutokas kifaranga mpaka kilo Moja kwa Miezi miwili kama wakizungu inawzekana ni lishe tu .
Hapo ndipo mlipochanganyana hilo linawezekana kifaranga mpaka kianze kutaga ni miezi sita hivyo ni obviously hakumaanisha utakuwa na kuku Mwenye uwezo wa kutaga bali utakuwa na kuku (vifaranga) 300+Kuku 11 (wa kienyeji)wazalishe kuku 300 in 3 months ni impossible labda uwe unafuga panya. Kifaranga kinachukuwa miezi 3 hadi miezi 6 kukuwa na kuanza kutaga mayai. Tuwe tunaandika vitu vya ukweli sio kudanganyana kama wanasiasa wa hiki chama wanavyofanya