Mchizi
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 2,624
- 6,064
Nijuavyo kwenye mabus na subway kuna sehemu maalumu za wazee na wajawazito ,akija hapo ni lazima uinuke ila kama kaja sehemu za watu wa kawaida si lazima kuinuka.Ni juu ya huyo mzee au mjamzito kutumia busara kama train au bus limejaa kusubiri lingine