Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,209
Nimekuwa nanyoa ndevu mara kwa mara kwakuwa kibarua changu hakiruhusu kuwa na ndevu. Sasa nimeanza kutokewa na weusi.
Nini nifanye ili nisiwe na weusi baada ya kunyoa ndevu? Naombeni mbinu
Nini nifanye ili nisiwe na weusi baada ya kunyoa ndevu? Naombeni mbinu