Kuwa mkweli una laini ngapi za simu?

Kuwa mkweli una laini ngapi za simu?

Kwa haraka nina jumla ya Laini 19 hivi🤔, yah! Laini 19 mitandao yote kiujumla.



voda 5, tigo, 3, halotel 4, airtel 6, Ttcl 1.



Serikali haina ajira, tunajiajiri wenyewe.



👉Note: Laini zote hizi ziko active, na zinatumika kwa mawasiliano halali kabisa, kwa anayehangaika kunipata tatizo ni lake sio langu, apige kwa laini nyingine nitapatikana.



19? Utakuwa wale jamaa wa tuma kwa namba hii
 
Back
Top Bottom