Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 165,858
- 184,679
Ukweli juu yako...😂😂 Niseme ukweli?
Ukweli juu yako...😂😂 Niseme ukweli?
naona unahatarisha usalama wako! umemsahau mama la mama na maTISS uchwara? Au wewe sio whistleblower?0766212225, 0678921567 za mawasiliano..nicheki basi nikuambie kitu kizuri.
Voda 4, Tigo 4, Airtel 2, Halotel 1.. 😁ndiyo mmenishtua imebidi nihesabu..!
Nina laini 7, nyingine hazipo kwa majina yangu..
4 za biashara, 3 ndiyo personal japo ninazotumia zaidi ni 2, 1 ni mahsusi kwa ajili ya miamala. tu.!🙌🏾
dosho12 Vincenzo Jr Depal
mko na laini ngapi wazee wenzangu..!?
KwendraaaaUkweli juu yako...
Niende wapi...Kwendraaaa
Unauza nini? Wateja wapo...Voda 4, Tigo 4, Airtel 2, Halotel 1.. 😁
Sijisikii kuongea, niacheUnauza nini? Wateja wapo...
BahariniNiende wapi...
Ongea kwa faida ya members, utalala njaa shauri zako...Sijisikii kuongea, niache
Usiku kuna baridi kali baharini...Baharini
😁😁 Siwezi kuongea mpaka meneja afikeOngea kwa faida ya members, utalala njaa shauri zako...
Majini hatusikiagi hayo 😁Usiku kuna baridi kali baharini...
Na ulale njaa...😁😁 Siwezi kuongea mpaka meneja afike
Mwanafamilia mwenzangu kabisa.😀😀😀Dunia ya Digitali hii.
Kwa nini uwe na laini moja?
Mimi nina za mitandao yote, kila mmoja una faida zake na hasara zake.
View attachment 3532206
Dunia ya Digitali hii.
Kwa nini uwe na laini moja?
Mimi nina za mitandao yote, kila mmoja una faida zake na hasara zake.
View attachment 3532206
Na chuma bado inadai inakwambia +AddeSIM.Dunia ya Digitali hii.
Kwa nini uwe na laini moja?
Mimi nina za mitandao yote, kila mmoja una faida zake na hasara zake.
View attachment 3532206
Maximum 20, yani hapo bado sanaaaNa chuma bado inadai inakwambia +AddeSIM.
Shamba tena mkuu?Mkuu naweza kupata Shamba la Heka tano ?