Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,145
- 41,772
True pombe husaidia kutibu hiyo Hali forever...Mimi mpaka na maliza ELIMU ya juu sikuwai kunywa Wala kutumia kilevi chochote..baada ya kuingia ULIMWENGUNI ndio Nika anza ku boost kidogo konyagi ndogo kila weekend ilisaidia Sana kuupunguza u INTROVERT WANGU up to now NAWEZA NIKA HUBIRI HATA KWENYE DALADALA π€£πNilikuwa introvert mzee, naishukuru pombe imenitoa huko. Hiyo hali ni kama uchizi, unawezajikuta psycho kimasikhara, introvert ni kama ufala na udomozege. Kitu pekee positive introvert chakujivunia ni akili(ubunifu)
Mbali na hapo ni hali mbaya sana kuwa anti social. Kuna mstari mwembamba sana wa kuwa introvert na tabia za ajabu ajabu kama kujiua(kuwa kwenye nafasi kubwa ya kupata sonona),kuua,umasikini(introvert na self confidence ni sawa na left and right)...
Mi naishukuru lifestyle ya kiafrika angalau kwa kiasi kikubwa inaepusha hiyo hali, ila huko mbeleni hawa wakina junior nawaonea huruma sana.
Ukiona huwezi kukaa siti za mbele kanisaniπ ama safu ya mbele msikitini..Ipa bado mm sio introvert kwakweli π
Basi wewe ni extrovert kiasi maana mwingine hata kuomba maji ugenini anaogopa...hata kuomba lifti au MSAADA wa kupanda gari/ ama kuuliza njia hawezi introvert wengi huwa ni wakimya sanaaSometimes, ila mimi ni mtu wa watu. Dk 5 zina tosha kupata washkaji ugenini
hata mchumba fulani ni introvert, yaani kuongea kwake kasheshe ππBasi wewe ni extrovert kiasi maana mwingine hata kuomba maji ugenini anaogopa...hata kuomba lifti au MSAADA wa kupanda gari/ ama kuuliza njia hawezi introvert wengi huwa ni wakimya sanaa
π ukitwanga nyagi ndio unakuja gundua ukiwa na akili timamu uwezi furahia hali ya uintrovert. O level mwanzoni hiyo hali imenitesa sana kuona mademu ninaowakubali mashkaji waliochangamka wanajizagamulia tu, napenda mpira ila siwezi changamana na watu kwenye kuuchambua...True pombe husaidia kutibu hiyo Hali forever...Mimi mpaka na maliza ELIMU ya juu sikuwai kunywa Wala kutumia kilevi chochote..baada ya kuingia ULIMWENGUNI ndio Nika anza ku boost kidogo konyagi ndogo kila weekend ilisaidia Sana kuupunguza u INTROVERT WANGU up to now NAWEZA NIKA HUBIRI HATA KWENYE DALADALA π€£π
We haukua introvert ila ulikua Domo zegeπ ukitwanga nyagi ndio unakuja gundua ukiwa na akili timamu uwezi furahia hali ya uintrovert. O level mwanzoni hiyo hali imenitesa sana kuona mademu ninaowakubali mashkaji waliochangamka wanajizagamulia tu, napenda mpira ila siwezi changamana na watu kwenye kuuchambua...
Ila siku nimepiga kiroba ndio nikajua nastahili mengi zaidi ya haya, kuanzia hapo naishi fresh tu bila hata tungi. Kwakweli sitamani mtoto wangu aje pitia hali niliyopitia kwenye huo ufala. Kwangu mwanamme haifai kabisa kuwa introvert
Ukitumia pombe kidogo kidogo inasaidia kuondoa na kutibu na ku unlock π hizo codes za kua introvert hatare Sanaa.π ukitwanga nyagi ndio unakuja gundua ukiwa na akili timamu uwezi furahia hali ya uintrovert. O level mwanzoni hiyo hali imenitesa sana kuona mademu ninaowakubali mashkaji waliochangamka wanajizagamulia tu, napenda mpira ila siwezi changamana na watu kwenye kuuchambua...
Ila siku nimepiga kiroba ndio nikajua nastahili mengi zaidi ya haya, kuanzia hapo naishi fresh tu bila hata tungi. Kwakweli sitamani mtoto wangu aje pitia hali niliyopitia kwenye huo ufala. Kwangu mwanamme haifai kabisa kuwa introvert
Unatishia kudunda watu mtandaon au coUnaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu.
Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa sehemu nayotaka kupita naweza nikasubiri mpaka utoke ndo namimi nipite!, mitabia myengine sijui ya wapi tu!..
Huku mitandaoni tumejazana maana ndo sehemu tunaweza hata kumtishia mtu kumdunda!, ila huku ana kwa ana hata kutukana tu ni kasheshe!.
Ndo viumbe pekee vinakaa mji fulani ila vinajua mitaa michache sana maana kutembeatembea sio pendeleo sana kwao!.
Mzazi mwenye mtoto wa aina hii usimsokote sana mwanao kumlazimisha achanganyikane na watu!, wakati wake ukifika atachanganyika na atachagua wakuchanganyika nao!.
Pili mfatilie ila usimfatilie sana mpaka ukaziba uhuru wake ambao ni amani yake!, utamkosesha kujiamini hata akiwa peke yako atakuwa anaona kama unamuangalia 24/7.
Usiruhusu mtu mwengine ambae hazijui hulka za mwanao amsumbue hovyohovyo bila sababu za msingi.
Jua vitu anavyovipenda ukiweza mpatie kadri uwezavyo kwa vipimo vya wastani, usimzidishie.
Introvert wengi wana hulka ya uoga na akikuwa hiyo hulka ikakomaa ndo inamvaa na kumsababishia "anxiety".
Hivyo hakikisha akiwa bado mdogo mpe kazi ambazo zitaongeza ujasiri wake, sanasana hakikisha anakuwa anafanya zile kazi ngumu kiasi na pia uwe unampa maneno ya kumtia moyo ya kwamba anaweza!. jitahidi kumsoma hali zake maana ni mabingwa wa kuficha!, hivi ndo viumbe vinaweza kutunza siri mpaka kufa!.
Mwisho kuwa makini na namna unavyoenenda nae maana anaweza akawa anakushinda hata utafakari!, usimtake ajielezee sana bali kama ni kitu cha kufanya muache afanye!, maana huwa si wazuri sana kwenye kujieleza ila kutenda wapo smart sana!.
Domo zege ndio Nini? Kwaio hata kuchambua mpira ni udomo zegee pardon please πWe haukua introvert ila ulikua Domo zege
Unaweza kumuudhi na asikwambie π siku akikasirika to the maximum ndipo utamjua her true colorhata mchumba fulani ni introvert, yaani kuongea kwake kasheshe ππ
Muoga ni mtiifu, mpole ni muongeaji, mkimya ni mkali haswaa, msiri ndiyo mimi sasaMm nashindwa kutofautisha mtu mwoga, mpole ama mkimya na msiri π
lakini kwenda hata kuifata hiyo pombe unaona aibu kinyama...π€£True pombe husaidia kutibu hiyo Hali forever...Mimi mpaka na maliza ELIMU ya juu sikuwai kunywa Wala kutumia kilevi chochote..baada ya kuingia ULIMWENGUNI ndio Nika anza ku boost kidogo konyagi ndogo kila weekend ilisaidia Sana kuupunguza u INTROVERT WANGU up to now NAWEZA NIKA HUBIRI HATA KWENYE DALADALA π€£π
tunareact kwa uzito kiasi mpk dunia hushangaa!Unaweza kumuudhi na asikwambie π siku akikasirika to the maximum ndipo utamjua her true color
Sahihi kabisa. Hivi Hilo kundi wanawezaga kuwa wanasiasa?! If yes, wanawezaje kujichanganya wakati wa uhitaji wa kura?!Tangu kwenye uzi wa Da'Vinci miaka ile, hili nilishazungumzia introvert ni ugonjwa wa akili. Nazungumza kwa uzoefu sababu nilishakuwa huko.
Kuna mstari mwembamba sana wa uintrovert na uchizi
Ni introvert na ndio maana unachachuka mbele ya unaowajua!, huwezi kufanya hivyo kwa ambao hujawazoea!.Mie bado sijijui km ni introvert au ndo nn, maana nina tabia za introvert, ila nikipata wasaa wa kuchangamana na watu wangu wa karibu, basi nachachuka kuliko wao.
Na wao huwa hawaelewi nini hiki, ππππ
Domo zege mpaka kwa wanaume wenzangu? π mzee kuna mstari mwembamba sana wa udomo zege na introvert. Kuongea ni mara chache sana tena mpaka kwa watu uliozoeana nao hasa. Ajabu ni kwamba haka katabia kana bahati sana kutongozwa na mademu π. Introvert wengi hufuatwa na mademuWe haukua introvert ila ulikua Domo zege
Sio rahisi introvert kuwa mwanasiasa kwanza nina hakika hakuna introvert mwanasiasaSahihi kabisa. Hivi Hilo kundi wanawezaga kuwa wanasiasa?! If yes, wanawezaje kujichanganya wakati wa uhitaji wa kura?!