Yes am hear tell me
Shkamoon wakuu
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labd ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zngne kabsa lakn nshashindwa
Wenzangu em nambien kama kuna yyte alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!!mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kwel cbadilishwi
Cna genye mshindo
naomba niikopi hiidaaaaah nalo swali, yaaaani maswali mengine kama ya kipima joto vile
H kwa jibu la hapana
N kama jibu lako ndio na
S kama jibu lako ni Sijui then tuma kwenda Mahusiano, mapenzi, urafiki
kama umpendi uwezi mvulia pichu hata kama ana kitu nitamzungusha mpaka anachukia hiyo kitu na nikienda kwake nakuwa period that only
kama umpendi uwezi mvulia pichu hata kama ana kitu nitamzungusha mpaka anachukia hiyo kitu na nikienda kwake nakuwa period that only
Nakumbuka nilimsikiliza Faraja robo kwenye MKASI, alipotoa stori yake....jinsi alivyokutana na waubani wake (honorable)...Hivi tuwe wakweli, yule mshikaji ukimchukua ukamvalisha magwanda ya kk security....asimame getini.....hayo macho ya mrembo Faraja yangeona "waubani" ama ?
Kwenye opportunity na pesa mnavua tu, hakuna kupenda wala nini......kupenda mnaFAKE coz mna vipaji hivyo.
Wanaume ni waongo lakini uongo wa wanawake ni wa kipekee....na usiombe mwanaume yakukute...unamlea mtoto/watoto sio wako...mtoto wa kike ndoa miaka arobaini, macho makavu.
.....YOU ARE TOO DAMN LIARS AND FAKERS......hata hamna haja ya kubishana na nyie.
kama umpendi uwezi mvulia pichu hata kama ana kitu nitamzungusha mpaka anachukia hiyo kitu na nikienda kwake nakuwa period that only