Kuuza mechi kisa binti mpole

Kuuza mechi kisa binti mpole

Kwenye life watu wengi wanafake
yule wa nyuma ameseparate

Unajua asilimia zote tunafake sana, tunajifanya tunarugha nzuri, tunakula vzuri wacheshi kumbe hamna lolote subiri akuonyeshe makucha, yasimba cha mtoto
mkuuu janaa nilitokaa kumchana dem manguu kwa kumuacha gaflaa anajifanya mtu wa mungu sanaa iaseee kumbe ni bogo la nyokaaaa huwezi amin hata ukimoana....
 
Kuna Jamaa mmoja ofisin anakili kutotumia ndomu Kwa kigezo Kuwa haizuii ngoma,,,!!!

Nimueleze au nimuache atachokutana nacho mbeleni
 
Kuna Jamaa mmoja ofisin anakili kutotumia ndomu Kwa kigezo Kuwa haizuii ngoma,,,!!!

Nimueleze au nimuache atachokutana nacho mbeleni
kuvaa ndomu haina tofauti na kupiga nyeto, mwendo ni wa nyama kwa nyama

jamaa yako yupo sahihi
 
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.

Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).

Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
Sasa kama kakuvulia wewe atashindwa vipi kwa wengine?
 
Leo umeongea kitu cha maana saaana, niliwahi kumwamini saana mdada mmoja, uzuri niliweza kumzoea kuongea naye kiuwazi kabla hatujafika huko...

Aiseeee, acheni nyie. Hao wadada wanaojiita mama wachungaji ingali wachungaji hawaonekani ni hatari saaana
 
Kuuza mechi kwa kigezo cha kuwa binti ni mpole, mkimya, mnyenyekevu, mlokole, ustadhat, hana makandokando ni kujitafutia kaburi la mapema.

Kuna siku utakuja kusikia anayoyafanya nyuma ya pazia hutaamini macho yako (japo sio wote).

Ni vyema kujikinga hata kama binti ananena kwa lugha usiaminiamini tuu.
UKIMWI umepigwa daflao na kitu Cha Korona
 
Nilishauzaga mechi kwa kigezo hicho. Safari ya angaza ilipofika nilikimbia majibu mpaka leo sijayafata... mwanamke usimuamini hata kwa kumtania
Hata mimi mkuu. Niliuza mechi kizembe sana. Ila baadaye nilimpereka angaza tukajikuta tuko sawa. Ujinga ule sirudiii hata kidogo.
 
Ngoja leo niwape elimu kuhusu HIV inavyoingia kwa njia ya sex, yaani ipo hivi kama utasex na mwanamke mpaka ukasugua pakachubuka hapo ndipo exchange ya damu huvanyika,
Njia ya pili ni kwa njia ya kiss au denda, hii huambukiza haraka kutokana na vidoda kati yenu mmoja wapo au kupitia fidhi za meno zinazotoa damu kupitia mate yaliyoko mdomoni,
Ila ukimuandaa vizuri na usisugue mpaka ukahisi moto basi mbegu hazibebi ukwimwi,
Kama kuna swali unataka ufafanuzi niulize nitaelezea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom