Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,311
- 108,350
Kwa hiyo hapa ndio umemaliza mkuu?
Ngoja leo niwape elimu kuhusu HIV inavyoingia kwa njia ya sex, yaani ipo hivi kama utasex na mwanamke mpaka ukasugua pakachubuka hapo ndipo exchange ya damu huvanyika,
Njia ya pili ni kwa njia ya kiss au denda, hii huambukiza haraka kutokana na vidoda kati yenu mmoja wapo au kupitia fidhi za meno zinazotoa damu kupitia mate yaliyoko mdomoni,
Ila ukimuandaa vizuri na usisugue mpaka ukahisi moto basi mbegu hazibebi ukwimwi,
Kama kuna swali unataka ufafanuzi niulize nitaelezea
