Kuumbwa BINADAMU/nani kamuumba?

Mwanzo 1:26-28​

Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”
 
Kama mechanism ya gari ilikua haiwezekani ku imagine kua ipo tu na haina mtengenezaji basi hapo utakubali kua kila kitu ambacho kwako kinakustaajabisha kwa ufanisi wake ni lazima kiwe na chanzo

Gari lina chanzo ambacho ni mtu na mtu actually mtu anaweza kuthibitishika hilo halina ubishi, lakini naye huyo mtu umempachika chanzo chake kua ni "Mungu" je unaweza kuthibitisha?

Je hicho chanzo cha mtu (Mungu) nini kimesababisha chanzo hicho kikawepo? ( chanzo cha mungu)

Itakua ni ujinga kusema gari linamtengenezaji mtengenezaji wa gari anamtengenezaji ila aliyemtengeneza mtengeneza gari hajatengenezwa (hana chanzo)

Mtu anaye kubali chanzo cha mtu (Mungu) kua hakina chanzo, mtu huyo anakua hana tofauti na yule anayesema gari ulimwengu hauna chanzo
 
Kukosa majibu ya baadhi ya maswali isiwe kigezo cha kusema umeumbwa!

Vipi ukiambiwa fulani ndio kakuumba si lazima utahoji pia aliyemuumba huyo fulani mwenye akili kubwa ya kukumba wewe?
Ikiwa umeumbwa, vivyo hivyo aliyekuumba lazima nae awe ameumbwa....

Mlolongo unaendelea
Mlolongo unaishia wapi huu...!!

Nani amekwambia yule aliye kuumba lazima awe ameumbwa ?
 
Sio kweli eti watu weupe wana akili sana kuliko watu weusi,skin colour has nothing to do with Intelligent ya mtu,

Genetics haina uhusiano na akili ya mtu bali ni malezi na mazingira aliyokulia muhusika,

Angalia kwenye Soka team za Africa hazijawahi japo hata kucheza final ya World cup But hao hao wachezaji wenye asili ya Africa wamechukua World cup kupitia national team ya France,

Jibu ni malezi,matunzo,training,tactics,mazingira....

Leo hii ukimchukua mtoto wa Kizungu mwenye umri wa miaka 3 ukampeleka akakulie kwenye sehemu ya hovyo basi ni lazima ata adopt zile tabia za hovyo,hawezi kua na akili eti kisa ni Mzungu,

Na ukimchukua mtoto wa kiafrika mwenye umri wa miaka 3 ukampeleka huko kwa wazungu wenye malezi bora na elimu bora basi nae ata adopt zile tabia na kua na akili,

Sio weusi wote hawana akili na sio kweli weupe wote wana akili,

Genetics has nothing to do with intelligent ya mtu.
 
Bwana Mokaze mimi ni mvivu kuandika


Mimi nakushukuru kwamba unakiri kwamba sisi tumeumbwa, sasa aliyetuumba sisi ndiye huyo tunayemuita Mungu.

Suala la Mungu kuumbwa au kutokuumbwa nk, hiyo ni mada nyingine.

Eternity ni umilele, katika umilele hakuna mwanzo wala mwisho au waweza sema kila kitu (material things, animates and inanimates) vinaanzia hapo, (Causa causan) hiyo ni sifa pekee ya Mungu.
 
Swali dogo tu la kuthibitisha kwamba Mungu yupo linapokuwa halijibiwi kimantiki, na linapigwa danadana za longolongo nyingi sana, linaonesha huyo Mungu hayupo, katungwa na watu tu.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo asingekuwa mkatili hivyo ajifiche sana, watu wauane katika vita za kidini wakibishana kumtafuta.

Mungu huyo angekuwepo ingekuwa kila mtu anazaliwa akimjua kwa urahisi tu, bila kuhubiriwa, bila kuhitaji kitabu, bila ya watu tofauti kumjua kiutofauti.

Mungu huyo kuwa na utata mwingi kujulikana kwa watu wa dunia nzima, ni ukatili wa hali ya juu, kitu ambacho kina contradict upendo wote anaosemwa kuwa nao Mungu huyo.

Mpaka hapo tu utaona huyu Mungu anayesemwa na watu katungwa tu na watu.

Ndiyo maana utasikia wanampa tabia za watu. Mara Mungu kakaa kwenye kiti cha enzi, sasa Mungu anakaa kwenye kiti anaogopa kuanguka?

Mara Mungu kakasirika, hivi huyu Mungu hana control ya hasira zake? Mungu anayejua kila kitu kitakachotokea anaanzaje kukasirika?

Mara Mungu kaona watu hawamfuati kawaua kwa gharika, ina maana alivyoumba hakujua hawatamfuata?

Mara Mungu ataunguza mabilioni ya watu kwenye moto wa milele.Hivi huyu Mungu anawanyima watu neema ya kumjua, wengine hata kusoma vitabu vyake hawawezi, halafu watu hao awachome motoni milele? Huyu ndiye Mungu mwenye upendo wote kweli jamani?

Ukichunguza sana utaona hizi ni hadithi za kutungwa na watu tu, huyo Mungu anayesemwa hayupo.
U think too much bro
 
Task Force , thanks for your clarification, you have explained in detail ! If you will be asked , what's the truth? Is there human being who knows the truth? Eg. If you are looking up to the sky , everyone knows you are looking up! Are you sure you are looking up? Remembered the Earth is rotating .
 
Shukurani nyingi sana kwa kuthamini mchango wangu.
brother hata Mimi nilikua blind,kupitia mabandiko yako yenye fact na nondo zilizoshiba niliamua kua free minded nikaanza kuona mambo kwa jicho la tatu na niaanza kuishika elimu na kusoma mambo yenye logic na contradictions kiujumla,
Kiufipi kipindi nilipo ingia secondary tu nilianza kua mtu mwenye kuhoji mambo magumu Kama hayo sikupata majibu
Nilikua nashangaza sana mbaka Kuna baadhi ya watu wakasema nimechizika ila misimamo yangu haikuwahi kuyumbishwa
Sio hivyo tu hata kifamilia niliahawahi kalishwa kikao na wafia dini fulani nikanushe maneno yangu nikawaambia walete uthibitisho juu ya huyo wanaesema yupo wakapoteana vikabaki vitisho tu!

Big up mkuu
 
Back
Top Bottom