Vinashangaza Sana Yani? Wazungu kuna ukweli wanauficha.
Sent using
Jamii Forums mobile app
Unajiita Engineer halafu hujui maana ya "layers of abstraction"
Chukua system yoyote ile complex,mfano Laptop yako
Ifungue,utaona imeundwa na "individual components" nyingi sana zinazofanya kazi tofauti tofauti kukamilisha "common goal"....ila ukichunguza hizo individual components, utaona zimeundwa pia na much smaller "components"...mfano chukua tu ki Pisi cha waya,utaona kimeundwa na material husika ambayo nayo yaana historia ndefu ya uvumbuzi wake
In fact kwa kila kifaa unachokiona kwenye complex system yoyote kina " historia " yake na jinsi gani kilipitia mabadiliko badiliko mpaka kufika "form" iliyonayo sasa
Na hizo components sio kwamba zilitengenezwa kwa ajiri ya hio system,wires zilikuwepo kabla ya computer, transistor zilikuwepo kabla ya computer, metal cases zilikuwepo kabla ya computer,Computer inatumia 100% ya mda wake Ku execute algorithms, Mathematician waliandika hizo Algorithms miaka mingi hata kabla ya hatuja gundua "umeme"
Hivyo vyote ni zao LA knowledge ya watu wengi kutoka kila kona ya dunia,walio pata kuwepo kwa miaka mingi
Hio computer ni matokea ya kuweka hizo knowledge zote pamoja,na hata computer haiku tengenezwa kwa "siku sita" ni zao la miaka mingi,ina historia yake pana mpaka kufikia hio "form" unayoiona nayo sasa hivi,kutoka "size ya chumba" mpaka unaishika mkononi
What you actually see unapo chunguza "complex system" yoyote ni "Evolution" na sio "instant design"
Tatizo lenu ni pale mnapo taka Ku attribute sifa zote kwa mtengenezaji wa mwisho,na kumpa credit kwa kila LA ajabu mnalo liona kwenye system yake
They are just standing on the shoulders of Giants,from all over the world...
Kila jamii duniani,ina mchango wake kwenye science, haijalishi unaonekana mdogo kiasi gani
Kitu kingine mnaposhindwa kuelewa jinsi gani kitu kimewezekana au kinaweza vipi kufanya kazi aidha mna kikataa au mnasema ni "uchawi"/" muujiza"
Sasa hata ukiangalia Mfumo wa fahamu unavyofanya kazi,utarudia makosa Yale Yale bila kujua huo mfumo umepitia "Evolution" ya mabillion ya miaka
Na ukishindwa kuelewa jinsi Evolution inavyofanya kazi utaikataa kama uongo
In fact,tofauti yetu na mtu yoyote mwenye akili (sio just mzungu tu) ni ability to reason nje ya uelewa wa kawaida
Na uthubutu wake wa kuhoji mamlaka (Orthodox thinking)