Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,516
- Thread starter
- #61
Amezoea nyakua nyakua tuUnaona ugumu kujisomea reports?
Amezoea nyakua nyakua tuUnaona ugumu kujisomea reports?
mkuu samahani imenibidi nicheke tu maana hicho kibwagizo chako hapo chini kimenifikirisha sanaUnawauliza hawaView attachment 869848
Kama wanapitia hizi comments, sijui wana hali gani huko waliko!Usitake kujifanya hukufuatilia, Chenge, Yona, Karamagi nk walitajwa kwa majina, rais akaagiza wakamatwe siku ile ile na uchunguzi dhidi yao uanze mara moja. Hilo halijafanyika na halitokaa lifanyike kwani anayeendesha vita hiyo ni kambale aliyetoka kwenye bwawa chafu na bwawa chafu halitoi kambale msafi. Hitimisho letu likawa hakuna kupambana na ufisadi bali kupambana na matumizi ya neno fisadi kwa kile wanaaccm wanachoamini ni kutukanwa kwani hakuna msafi kati yao.
Nje ya mahakama maana yake itakuwa ni wao kuchimba kwa muda bila kutulipa chochote kama bado wataendelea kuwapo nchini au kuuza mchanga wote bila sisi kupewa chochote wafidie hasara waliopata kwa zaidi ya mwaka.Kuna vitu watu tukisema humu, tunaonekana kuwa tunamchukia Magufuli kwa sababu ni watu wa EL!.
Baada ya kutoka ripoti ya pili, nilipandisha bandiko hili, Mkapa na Kikwete Walidanganywa na Wakadanganyika!, Magufuli Anadanganywa!, Jee Atadanganyika? - JamiiForums
Hapa nilisema rais amedanganywa, na kwa vile mpaka hapa ninapoandika, sijasikia juhudi zozote za kuutafuta ukweli wa makinikia, kwa maoni yangu, Tanzania hatuna locusts stand to counter their arguments, mkataba upo, sheria imelalia kwao, tutashindwa miserably!, kitakachofuata, ni tutawapa mchanga wao, kama bado hatujawapa, then watafuta kesi, tutamalizana nje ya mahakama!.
P
Ni muda tu utafika wote waliopitisha miswaada mibovu ya sheria ya madini itabidi watemeshwe posho walizo kula bungeniNdio uje hata kesi waliotufungulia Acacia hatuwezi kushinda na huu ndio ushahidi kuwa tunaibiwa kupitia mikataba tuliosaini wenyewe tukiwa na akili zetu timamu.
Sisiem ni matapeli.
Shauri litafutwa, mazungumzo yataendelea, maafikiano yatafikiwa kwa kula mtu kula na kumeza hasara yake, sisi tutafuta deni letu la TRA, na wao watafuta deni lao la hasara.Nje ya mahakama maana yake itakuwa ni wao kuchimba kwa muda bila kutulipa chochote kama bado wataendelea kuwapo nchini au kuuza mchanga wote bila sisi kupewa chochote wafidie hasara waliopata kwa zaidi ya mwaka.
Kama wanapitia hizi comments, sijui wana hali gani huko waliko!
Shauri litafutwa, mazungumzo yataendelea, maafikiano yatafikiwa kwa kula mtu kula na kumeza hasara yake, sisi tutafuta deni letu la TRA, na wao watafuta deni lao la hasara.
P
Mkuu Petro, asante kwa ripoti hizi, kwa vile kwa sasa mazungumzo yanaendelea, hizi ripoti hazina maana tena, kwa sababu naamini wale wazungu, wamekwisha zitupilia mbali, sasa kinachosubiriwa ni utekelezwaji wa makubaliano. Katika makubaliano, cha kwanza ni makinikia, yaondoke, Acacia ivunjwe, kampuni mpya iundwe, tugawane 50/50 ya economic benefits, na sio faida kama tulivyo danganywa.Wakuu waungwana wa JF,
Kama kuna yeyote anayejua anisaidie na wengine wanaotaka kujua kama mimi.
Karibuni wajuzi wa mambo
Muktasari wa Ripoti ya Kamati ya Prof. Osoro unapatikana hapa:
https://www.ikulu.go.tz/files/publications/attachments/2_sw.pdf
Muktasari wa ya kwanza upo humu:
RIPOTI KAMILI YA KAMATI YA KWANZA YA KUCHUNGUZA MCHANGA WA MADINI. – Binagi Media Group
Waione: JokaKuu, Mag3 Pascal Mayalla na wengineo
Mkuu Petro, asante kwa ripoti hizi, kwa vile kwa sasa mazungumzo yanaendelea, hizi ripoti hazina maana tena, kwa sababu naamini wale wazungu, wamekwisha zitupilia mbali, sasa kinachosubiriwa ni utekelezwaji wa makubaliano. Katika makubaliano, cha kwanza ni makinikia, yaondoke, Acacia ivunjwe, kampuni mpya iundwe, tugawane 50/50 ya economic benefits, na sio faida kama tulivyo danganywa.
P.
Mkuu Petro, asante kwa ripoti hizi, kwa vile kwa sasa mazungumzo yanaendelea, hizi ripoti hazina maana tena, kwa sababu naamini wale wazungu, wamekwisha zitupilia mbali, sasa kinachosubiriwa ni utekelezwaji wa makubaliano. Katika makubaliano, cha kwanza ni makinikia, yaondoke, Acacia ivunjwe, kampuni mpya iundwe, tugawane 50/50 ya economic benefits, na sio faida kama tulivyo danganywa.
P.
Mzee wa PPR c utuandikie kwa hiki kizigua chetu. Hayo maneno ya kirusi unayochomokea mhhKuna vitu watu tukisema humu, tunaonekana kuwa tunamchukia Magufuli kwa sababu ni watu wa EL!.
Baada ya kutoka ripoti ya pili, nilipandisha bandiko hili, Mkapa na Kikwete Walidanganywa na Wakadanganyika!, Magufuli Anadanganywa!, Jee Atadanganyika? - JamiiForums
Hapa nilisema rais amedanganywa, na kwa vile mpaka hapa ninapoandika, sijasikia juhudi zozote za kuutafuta ukweli wa makinikia, kwa maoni yangu, Tanzania hatuna locusts stand to counter their arguments, mkataba upo, sheria imelalia kwao, tutashindwa miserably!, kitakachofuata, ni tutawapa mchanga wao, kama bado hatujawapa, then watafuta kesi, tutamalizana nje ya mahakama!.
P
Mkuu hawa maprof wetu siku hizi ni utata tu, anyways..nimesikia Acaccia wametushitaki.
..mimi nashauri na sisi tuwafungulie mashtaka [ counter sue] ktk mahakama ya usuluhishi ya kimataifa, na tuwatume Prof.Mruma na Prof.Osorro, pamoja na timu zao za wataalamu kuwa mashahidi wetu.
Professorial RUBBISH...here we go!Wakuu waungwana wa JF,
Kama kuna yeyote anayejua anisaidie na wengine wanaotaka kujua kama mimi.
Karibuni wajuzi wa mambo
Muktasari wa Ripoti ya Kamati ya Prof. Osoro unapatikana hapa:
https://www.ikulu.go.tz/files/publications/attachments/2_sw.pdf
Muktasari wa ya kwanza upo humu:
RIPOTI KAMILI YA KAMATI YA KWANZA YA KUCHUNGUZA MCHANGA WA MADINI. – Binagi Media Group
Waione: JokaKuu, Mag3 Pascal Mayalla na wengineo
Ni swali zuriJe makontena bado yapo bandarini au yako wapi
Ai ai ai! Kama jina la mtemi Chenge limo humo basi sahauni na hii thread ifungwe tuu. Maana hata juzi jiwe alikuwa bariadi ikawa ni kumsifu tuu joka LA makengeza hadi mkewe kumuita Shemeji. Fanya mchezo na mzee wa Gamboshi!Aidha, Kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezaji wa muda wa leseni (renewal) wa maeneo ya uchimbaji madini kinyume cha sheria na bila kuzingatia maslahi ya taifa.Kwa mfano, kuongeza muda wa leseni na maeneo ya uchimbaji uliofanywa na Mheshimiwa William M. Ngeleja na Mheshimiwa Sospeter M. Muhongo, kwa kampuni za North Mara Gold Mines limited na Pangea Minerals Limited.Pia
38
leseni mbali mbali zilizotolewa na; Kamishna Paulo M. Masanja, Kamishna Dalaly P. Kafumu na Kaimu Kamishna Ally B. Samaje. Katika kipindi hicho washauri wakuu wa Serkali kwa masuala ya kisheria ni pamoja na Mheshimiwa Andrew Chenge, Johnson Mwanyika na Manaibu Wanasheria Wakuu ambao ni Felix Mrema na Sazi Salula na Wakuu wa Idara ya Mikaba Maria Ndossi Kejo na Julius Malaba.
Fake report always has no outcomeWakuu waungwana wa JF,
Kama kuna yeyote anayejua anisaidie na wengine wanaotaka kujua kama mimi.
Karibuni wajuzi wa mambo
Muktasari wa Ripoti ya Kamati ya Prof. Osoro unapatikana hapa:
https://www.ikulu.go.tz/files/publications/attachments/2_sw.pdf
Muktasari wa ya kwanza upo humu:
RIPOTI KAMILI YA KAMATI YA KWANZA YA KUCHUNGUZA MCHANGA WA MADINI. – Binagi Media Group
Waione: JokaKuu, Mag3 Pascal Mayalla na wengineo