Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Wakati mashabiki wa CCM waki busy mitandaoni kuibua tuhuma dhidi ya Nyalandu na kumpa vitisho,watueleze ni waziri gani alietajwa katika ripoti za kamati za madini ambae mpaka sasa ameshafikishwa katika vyombo vya sheria kujitubu tuhuma zinazomuhusu.
Kabla ya kuanza kumshambulia Nyalandu na kumtisha,tuelezeni ni hatua gani za kisheria walizochukuliwa mawaziri mbalimbali waliotajwa katika taarifa za kamati za madini.
Tuambieni na nani aikuwa waziri wakati vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe vilipoagizwa na mtuambie leo hii mtu huyo ana wadhifa gani?
Acheni kuwa wanafiki!!
Kabla ya kuanza kumshambulia Nyalandu na kumtisha,tuelezeni ni hatua gani za kisheria walizochukuliwa mawaziri mbalimbali waliotajwa katika taarifa za kamati za madini.
Tuambieni na nani aikuwa waziri wakati vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe vilipoagizwa na mtuambie leo hii mtu huyo ana wadhifa gani?
Acheni kuwa wanafiki!!