Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Huyo nilishamsoma kwa Kigogo2014 eti alimpa sumu Mangula. Sijui kama ni kweli. Sema anafanya kazi Lumumba na alikuwa benet sana na Jidabhunga aliyebhunga.
Kalipelekwaga huko Ulaya na Magu kusomea mambo ya ujasusi. Kabla ya hapo kalikuwa kajumbe ka NEC-CCM huko Lindi. Kanajuaga kuupiga mdomo kweli yani ni kamwanansiasa na kanatumia mdomo wake kupanda chati
 
Ila Magoti handsome bonge la bwana na anajiamini haswaaa.

Basi watu watasema nimemsifia sababu pesa ipo.

😅😅😅😅 Tafuteni hela tu
 
Mwanakamati, kamati ya roho mbaya...
Huyo ndio mkewe??? Kweli pesa ni jibu la kila kitu
Screenshot_20210905-205046.png
 
Ni kijana mzalendo miongoni mwa vijana wazalendo wa nchi hii!

Ni kada mtiifu mwenye maono kuntu wa chama bora barani afrika(CCM)......

Mwenyezi Mungu awape afya njema yeye na mkewe aaamin aaamin ,aibariki ndoa yao kwa kizazi bora chenye nidhamu kwa Mungu na nchi Yao aaamin aaaamin🙏
 
Ni kijana mzalendo miongoni mwa vijana wazalendo wa nchi hii!

Ni kada mtiifu mwenye maono kuntu wa chama bora barani afrika(CCM)......

Mwenyezi Mungu awape afya njema yeye na mkewe aaamin aaamin ,aibariki ndoa yao kwa kizazi bora chenye nidhamu kwa Mungu na nchi Yao aaamin aaaamin[emoji120]
Kama fedha na vyote alivyonavyo amevipata kihalali bac awe na maisha mema na ndoa yake
 
Back
Top Bottom