Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Kuuliza si ujinga: Peter Magoti ni nani huko CCM?

Ila Magoti handsome bonge la bwana na anajiamini haswaaa.

Basi watu watasema nimemsifia sababu pesa ipo.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Tafuteni hela tu
Mhhhh
Handsome jamani kweli?? hapana
 
if you believe in reincarnation, huyu jamaa anaonekana alikuwa mtu hatari sana in his previous life ndo maana akazaliwa hivyo alivyo hivi sasa iliaweze kumrudia muumba wake na asamehewe madhambi yake, lakini ubaya wa bahati ile roho ya ukatili bado inanguvu ndani yake, katika next life atazaliwa mti.
Huyu namfananisha na mtu mmoja kwenye novel za James Hadley Chase akiitwa Vitto Ferrari. Akikukosa hufi tena hapa duniani. Ukimpa assignment anauliza unataka ionekane vipi, suicide, mudder, accident, natural death........ . Na alikuwa na muonekano kama huyu comrade.
 
Huyu namfananisha na mtu mmoja kwenye novel za James Hadley Chase akiitwa Vitto Ferrari. Akikukosa hufi tena hapa duniani. Ukimpa assignment anauliza unataka ionekane vipi, suicide, mudder, accident, natural death........ . Na alikuwa na muonekano kama huyu comrade.
Hii ni kwa mujibu wa yule jamaa yenu mtwita?
 
Hii ni kwa mujibu wa yule jamaa yenu mtwita?
Huyo amesha compromise na Msoga Gang bifu lake lilikuwa kwa dhalim mwendazake tu. Ila kama wewe ni Sukuma Gang bado ni mtu mbad kwako pia,hana ideology yeye ni opportunist tu. He has a family to feed, na kwa swali lako siyo, hii ni kwa mujibu wa chanzo chetu ndani kabisa.
 
Huyo amesha compromise na Msoga Gang bifu lake lilikuwa kwa dhalim mwendazake tu. Ila kama wewe ni Sukuma Gang bado ni mtu mbad kwako pia,hana ideology yeye ni opportunist tu. He has a family to feed, na kwa swali lako siyo, hii ni kwa mujibu wa chanzo chetu ndani kabisa.
Mbona chadomo mnamuamini sana?

Sasa hivi akisema kitu mnamtukana ila mwanzo akisema tu mnashangilia?

Alafu hicho chanzo chako cha ndani kilishindwa kukupa taarifa kama Mbowe atakamatwa?
 
Mbona chadomo mnamuamini sana?

Sasa hivi akisema kitu mnamtukana ila mwanzo akisema tu mnashangilia?

Alafu hicho chanzo chako cha ndani kilishindwa kukupa taarifa kama Mbowe atakamatwa?
Hatujawahi kumuamini issue we had a common enemy with different causes,now it's the opposite. Issue ya Mbowe ulitaka tuzuie at gun point? Si unaona mtanange unavyokwenda. Unavuka daraja unapolifikia.
 
Back
Top Bottom