Kutumia magari ya Serikali kwenda kumpokea Makonda ni matumizi mabaya ya kodi za umma

Mali zote za Serikali ni mali za CCM kwa mlango mwingine, kuwabana kwa hili ni ngumu na ndiyo maana tukasema ni lazima tuandike Katiba nyingine ili mali za umma zibakie na umma na kusiwe na chama chochote hata kama ni tawala kuzifanya mali za wananchi ni mali zake.
 
Back
Top Bottom