Habari ndugu wadau.
Mimi nimehesabiwa jana.Lakini nilichokiona kwa karani na taarifa tulizompatia haikuchukua ata dakika 5 na tulikuwa kaya ya watu 9.
Sasa nikajiuliza hii ndo kazi watu wamefanya semina wiki 3 kweli??Hakika sijaamini nilichokiona.
Hii inamaana tungekuwa makini tungetumia ata billion 80 kuhesabu watu na zoezi likafanikiwa 100%.
Kwa mfumo wa sensa nilivoona mafunzo ingekuwa siku 2 au 3 au maximum 5 lakini hivi ninavyoandika mtaani kwetu hakuna maji kabisa.
Fikiria mtaa mzima hakuna sehemu maji yanatoka ata ya visima ni kuyatafuta kwa tochi.
Sasa wadau tutaendelea kulalamika mpaka lini??
Mimi nimehesabiwa jana.Lakini nilichokiona kwa karani na taarifa tulizompatia haikuchukua ata dakika 5 na tulikuwa kaya ya watu 9.
Sasa nikajiuliza hii ndo kazi watu wamefanya semina wiki 3 kweli??Hakika sijaamini nilichokiona.
Hii inamaana tungekuwa makini tungetumia ata billion 80 kuhesabu watu na zoezi likafanikiwa 100%.
Kwa mfumo wa sensa nilivoona mafunzo ingekuwa siku 2 au 3 au maximum 5 lakini hivi ninavyoandika mtaani kwetu hakuna maji kabisa.
Fikiria mtaa mzima hakuna sehemu maji yanatoka ata ya visima ni kuyatafuta kwa tochi.
Sasa wadau tutaendelea kulalamika mpaka lini??