joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,403
- 41,529
Kuna sehemu nimesema Yanga hawaja chagua kampuni ya kukata ticket?Unasema jambo na kujikana mwenyewe. Mara hamjachagua kampuni ya kukata tiketi, mara mna mkataba na N Card.
Umeshaambiwa tiketi za 08/03 zitatumika tena, mjadala ulikuwa unaishia hapo. Sasa unataka tiketi za 08/03 zitumike kwa kampuni A wakati zilikatiwa kwa kutumia kampuni B?
Na narudia kwa mara nyingine, kuwepo au kutokuwepo kwa mashabiki hakuathiri lolote taratibu wa mchezo kufanyika na kukamilishwa na hata mchezo kuchezwa.
Mtizame Kolo FC mwenzio mwenye akili.Endelea kubisha.......