Kutokuwemo mashabiki hakuondoi uhalali wa mechi

Kutokuwemo mashabiki hakuondoi uhalali wa mechi

Mbona nimetoa hoja zangu, tatizo lako unataka tufanane.
Ndiyo, hatuongelei Bunju wala habari ya timu gani ina uwezo wa kumfunga nani. Mjadala niliouleta mezani ni kuhusu uwepo wa mchezo wa Simba vs Yanga tarehe 15/06/2025 na Yanga kuleta au kutoleta timu uwanjani. Tujikite hapo maana mimi kama mleta mada ndiye Mod wa mjadala huu.
 
Kama mtakuwa mmelipa nyie sawa.Ila kiutaratibu haipo hivyo.
Hilo wala lisikupe shida. Simba itafanya mazoezi vizuri tu na hakutakuwa na muhuni yoyote wa kuleta chokochoko pale getini au uwanjani.
 
Ndiyo, hatuongelei Bunju wala habari ya timu gani ina uwezo wa kumfunga nani. Mjadala niliouleta mezani ni kuhusu uwepo wa mchezo wa Simba vs Yanga tarehe 15/06/2025 na Yanga kuleta au kutoleta timu uwanjani. Tujikite hapo maana mimi kama mleta mada ndiye Mod wa mjadala huu.
Maoni yangu nimetoa, wewe ukasema tunaogopa kupeleka timu uwanjani na ndio maana nikasema vile. Tatizo lako unataka tufanane.
 
Hilo wala lisikupe shida. Simba itafanya mazoezi vizuri tu na hakutakuwa na muhuni yoyote wa kuleta chokochoko pale getini au uwanjani.
Nyie nendendeni mkafanye mazoezi, uzuri taifa hukatazwi mtu hela yako, mkiulipia mnafanya mazoezi.
 
Hakuna mbwa yeyeto wa kuikata Yanga points 15, wala kumpa 5imba point 3

Kampeni ya Yanga ni kusafisha pale TFF nyie mbumbumbu tutawafunga Kwa tarehe tutakayoamua sisi

Wala msiwe na haraka wala kiwewe, tutaondoa hiyo bodi ya ligi, nyie Simba tutawafunga tu tarehe nyingine
Ngoja tuone kati ya Yanga na TFF nani mkubwa.
 
Nyie nendendeni mkafanye mazoezi, uzuri taifa hukatazwi mtu hela yako, mkiulipia mnafanya mazoezi.
Hilo litawekwa sawa kwenye prematch meeting na Meneja wa uwanja atataarifiwa. N Card watawarushia mgao wao uwanja wa Mkapa na mambo yatakwenda tu vizuri.

Timu zinapobook uwanja kwa ajili ya mechi ya ligi, hakuna malipo ya ziada kwa ajili ya mazoezi ya siku moja kabla ya mechi. Hiyo ni package moja.
 
Wapi nimesema "mnaogopa kupeleka timu uwanjani"?
"Kwa hiyo mmekaa mkashauriana msitoe ushirikiano katika suala la uwanja kama chaka la hatopeleka timu uwanja wa Mkapa halafu mje kusema hamkuwa mmeuchagua uwanja?" Hapa ulikuwa unamaanisha nini?

Maana kama unaona Yanga anatafuta chaka la kutokupeleka timu, design kama anawaogopa Kolo FC. Yanga sababu ya msingi anayo kwani mechi ya tarehe nane,kuhairishwa kwake kulikuwa hamna sababu za msingi.

HALAFU WEWE UNAUMIA NINI YANGA KUTOKUPELEKA TIMU, WEWE UNATAKIWA UFURAHIE KWANI MNAAMINI MTAPATA POINT TATU NA MAGOLI MATATU.
 
Hilo litawekwa sawa kwenye prematch meeting na Meneja wa uwanja atataarifiwa. N Card watawarushia mgao wao uwanja wa Mkapa na mambo yatakwenda tu vizuri.

Timu zinapobook uwanja kwa ajili ya mechi ya ligi, hakuna malipo ya ziada kwa ajili ya mazoezi ya siku moja kabla ya mechi. Hiyo ni package moja.
Meneja wa uwanja kama akizungumza na nyie sawa,sasa hizo hela atazikusanya nani? Wakati mkusanyaji wa hela za Yanga ni N-Card na mwenye kutoa Go Ahead ya mgao wa hela zilizo kusanywa na N Card tarehe 8 ni Yanga.

Au mtamtumia wa kwenu?.
 
Meneja wa uwanja kama akizungumza na nyie sawa,sasa hizo hela atazikusanya nani? Wakati mkusanyaji wa hela za Yanga ni N-Card na mwenye kutoa Go Ahead wa mgao zilizo kusanywa na N Card ni Yanga.

Au mtamtumia wa kwenu?.
Pesa zipi wakati zimeshakusanywa za kutosha tu kulipia uwanja na wengine wanaopata mgao wao? Soma tena post ya kwanza, nimesema hata msipouza tiketi nyingine tayari 70% au zaidi ya tiketi zimeshauzwa na hata ikitokea wenye tiketi asitokee hata mmoja uwanjani (jambo ambalo halitatokea), bado hilo haliathiri Bodi, TFF na wasimamizi wa mchezo kukamilisha taratibu za mchezo. Nimelisema wazi hilo toka post ya 1.

Yaani unadhani baada ya kila mechi, N Card wanakaa na timu mwenyeji kujadiliana mgao? Duuh!
 
"Kwa hiyo mmekaa mkashauriana msitoe ushirikiano katika suala la uwanja kama chaka la hatopeleka timu uwanja wa Mkapa halafu mje kusema hamkuwa mmeuchagua uwanja?" Hapa ulikuwa unamaanisha nini?

Maana kama unaona Yanga anatafuta chaka la kutokupeleka timu, design kama anawaogopa Kolo FC. Yanga sababu ya msingi anayo kwani mechi ya tarehe nane,kuhairishwa kwake kulikuwa hamna sababu za msingi.

HALAFU WEWE UNAUMIA NINI YANGA KUTOKUPELEKA TIMU, WEWE UNATAKIWA UFURAHIE KWANI MNAAMINI MTAPATA POINT TATU NA MAGOLI MATATU.
Hakuna sehemu katika maelezo hayo niliyosema Yanga inaiogopa Simba. Maelezo yako wazi kabisa kama nyeti za mbwa.
 
Pesa zipi wakati zimeshakusanywa za kutosha tu kulipia uwanja na wengine wanaopata mgao wao? Soma tena post ya kwanza, nimesema hata msipouza tiketi nyingine tayari 70% au zaidi ya tiketi zimeshauzwa.

Yaani unadhani baada ya kila mechi, N Card wanakaa na timu mwenyeji kujadiliana mgao? Duuh!
Ndio maana nimekuambia hujui, chochote kila timu inamkusanyaji mapato wake,kuna Selcom,N Card nk so kila timu huingia nao mkataba, so mkataba ni wapande mbili timu na kampuni ya kukata ticketi.

N Card anakusanya hela kwa amri ya Yanga, mgao utafanyika baada ya Yanga kutoa Go Ahead. N Card ana mkataba na Yanga tu ndiye anaye fanya nae biashara. Kweli asilimia sabini zishauzwa, ila hela bado zipo N Card na N Card anamkataba na Yanga.
 
Naomba niulize , Yanga ndio mwenyeji wa mchezo na ndie anae andaa mchezo na uwanja pia anachagua yeye kikanuni .....sasa kama vyote hvi havifanyiki mechi itachezewa wapi na kwanini?
 
Katika kanuni za TFF, CAF na hadi FIFA, hakuna kipengele kinachosema kuwa mechi inakamilika iwapo tu kutakuwa na mashabiki jukwaani.

Hizi nguvu mnazotumia kusema eti mechi isitangazwe, tiketi zisiuzwe, nk. hazina maana yoyote ile katika taratibu za mechi.

Kwanza mkumbuke tiketi za 08/03 bado zinatambulika na zitatumika tena 15/06 kwa hiyo zaidi ya 70% ya tiketi tayari zipo mikononi mwa wale waliokwisha nunua.

Hata ikitokea hatokei mtazamaji hata mmoja uwanjani, taratibu za mchezo zitafuatwa, Yanga asipotokea uwanjani, Simba itapewa pwenti zake 3 na goli 3 saaafi. Hii cleansheet tutampa Diarra ajalizie katika rekodi zake.

Bodi ya ligi haina ulazima wa kutoa HARAKA taarifa za Simba kupewa pwenti 3. Wanaweza kusubiri wiki nzima au hata wiki 2 au 3 kama ambavyo wamekuwa wanafanya kutoa taarifa za mwezi za ligi. Kwa hiyo msitumie chaka la baadae kusema eti Bodi inachelewa kutoa taarifa kwa makusudi.

Nyie mkishaona Simba imetokea uwanjani, taratibu zote za mchezo zimefuatwa, mwamuzi amesubiri muda unaotakiwa akamaliza mchezo mjue imeisha hiyo. Hapo hapo mchukue hizo hatua mnazotishia kuchukua na wala msisubiri.
ID nyingine.
 
Ndio maana nimekuambia hujui, chochote kila timu inamkusanyaji mapato wake,kuna Selcom,N Card nk so kila timu huingia nao mkataba, so mkataba ni wapande mbili timu na kampuni ya kukata ticketi.

N Card anakusanya hela kwa amri ya Yanga, mgao utafanyika baada ya Yanga kutoa Go Ahead. N Card ana mkataba na Yanga tu ndiye anaye fanya nae biashara. Kweli asilimia sabini zishauzwa, ila hela bado zipo N Card na N Card anamkataba na Yanga.
Yaani mmekaa mkajadiliana halafu mkaamua, "embu twende tukaseme hatujachagua uwanja, hatujachagua kampuni ya kuuza tiketi, hatujauza tiketi (wakati mlitoa ushirikiano hadi asilimia zaidi ya 70% ya tiketi zikauzwa na kampuni inajulikana), hatujatoa ushirikiano wowote kama timu mwenyeji halafu tusipeleke timu uwanjani na siku ya mchezo twende KMC Complex tuwapige maboya Bodi, TFF, Simba, Azam Media na mashabiki. Hizi ni sababu tosha zitakazotusaidia huko CAS, yaani lazima tushinde huko CAS".

Aisee.....
 
Yaani mmekaa mkajadiliana halafu mkaamua, "embu twende tukaseme hatujachagua uwanja, hatujachagua kampuni ya kuuza tiketi, hatujauza tiketi (wakati mlitoa ushirikiano hadi asilimia zaidi ya 70% ya tiketi zikauzwa na kampuni inajulikana), hatujatoa ushirikiano wowote kama timu mwenyeji halafu tusipeleke timu uwanjani na siku ya mchezo twende KMC Complex tuwapige maboya Bodi, TFF, Simba, Azam Media na mashabiki. Hizi ni sababu tosha zitakazotusaidia huko CAS, yaani lazima tushinde huko CAS".

Aisee.....
Mgumu kuelewa kampuni ya kuuza ticket za Yanga kwa msimu huu 24/25 ni N Card,yaani events yoyote ya Yanga, kuanzia mechi zake za ligi, binafsi na nyinginezo anaye kusanya ni N Card.Hamna timu inayo chagua ticket siku moja au wiki moja kabla ya mechi bali wanakuwa na kampuni itakayo kata ticket kwa kipindi fulani kutokana na makubaliano yao.Hapo TFF,Bodi ya Ligi hawahusiki kabisa na hawapo kwenye huo mkataba.

Yanga yeye anachotaka majibu ya kwa nini mechi ilihairishwa tarehe nane na walio husika wawajibike, sasa jamaa zenu bodi ya ligi siku ile tarehe nane walisema watafanya uchunguzi na kutoa ripoti ya uchunguzi, halafu kabla ya kutoa hiyo ripoti wanapanga tarehe nyingine, vipi ripoti ilisha toka? Nyie kama lilivyo jina lenu Kolo FC, kwenye barua yenu mlisema hamtacheza mechi husika mpaka walio husika wachukuliwe hatua, vipi wangapi wamechukuliwa hatua na kuwajibika?

Haya nazani unaona, mwandishi wa Clouds Kolo FC mwenzenu ameprove ninacho kiongea. Sasa sijajua hayo mazoezi kabla ya mechi mtafanyaje au mtagoma tena?
Screenshot_20250606_140224_Instagram.jpg
 
Yaani mmekaa mkajadiliana halafu mkaamua, "embu twende tukaseme hatujachagua uwanja, hatujachagua kampuni ya kuuza tiketi, hatujauza tiketi (wakati mlitoa ushirikiano hadi asilimia zaidi ya 70% ya tiketi zikauzwa na kampuni inajulikana), hatujatoa ushirikiano wowote kama timu mwenyeji halafu tusipeleke timu uwanjani na siku ya mchezo twende KMC Complex tuwapige maboya Bodi, TFF, Simba, Azam Media na mashabiki. Hizi ni sababu tosha zitakazotusaidia huko CAS, yaani lazima tushinde huko CAS".

Aisee.....
Uwanja sio shida ya Yanga
Yanga Sasa tunasafisha TFF na bodi ya ligi
Baada ya zoezi hilo tutakuja kuwapaka mafuta mbumbumbu Kwa mara ya 5 mfululizo
Nyie tulieni najua mmemis kufungwa na Yanga, muda utafika mtafungwa hata huko Bunju
 
Naomba niulize , Yanga ndio mwenyeji wa mchezo na ndie anae andaa mchezo na uwanja pia anachagua yeye kikanuni .....sasa kama vyote hvi havifanyiki mechi itachezewa wapi na kwanini?
Hapo TFF na bodi ya ligi ipo mfukoni Kwa 5imba, atafanya lolote kuifanikisha uwanja ili awape 5imba points 3 za mezani
 
Mgumu kuelewa kampuni ya kuuza ticket za Yanga kwa msimu huu 24/25 ni N Card,yaani events yoyote ya Yanga, kuanzia mechi zake za ligi, binafsi na nyinginezo anaye kusanya ni N Card.Hamna timu inayo chagua ticket siku moja au wiki moja kabla ya mechi bali wanakuwa na kampuni itakayo kata ticket kwa kipindi fulani kutokana na makubaliano yao.Hapo TFF,Bodi ya Ligi hawahusiki kabisa na hawapo kwenye huo mkataba.

Yanga yeye anachotaka majibu ya kwa nini mechi ilihairishwa tarehe nane na walio husika wawajibike, sasa jamaa zenu bodi ya ligi siku ile tarehe nane walisema watafanya uchunguzi na kutoa ripoti ya uchunguzi, halafu kabla ya kutoa hiyo ripoti wanapanga tarehe nyingine, vipi ripoti ilisha toka? Nyie kama lilivyo jina lenu Kolo FC, kwenye barua yenu mlisema hamtacheza mechi husika mpaka walio husika wachukuliwe hatua, vipi wangapi wamechukuliwa hatua na kuwajibika?

Haya nazani unaona, mwandishi wa Clouds Kolo FC mwenzenu ameprove ninacho kiongea. Sasa sijajua hayo mazoezi kabla ya mechi mtafanyaje au mtagoma tena?
View attachment 3357986
Unasema jambo na kujikana mwenyewe. Mara hamjachagua kampuni ya kukata tiketi, mara mna mkataba na N Card.

Umeshaambiwa tiketi za 08/03 zitatumika tena, mjadala ulikuwa unaishia hapo. Sasa unataka tiketi za 08/03 zitumike kwa kampuni A wakati zilikatiwa kwa kutumia kampuni B?

Na narudia kwa mara nyingine, kuwepo au kutokuwepo kwa mashabiki hakuathiri lolote taratibu wa mchezo kufanyika na kukamilishwa na hata mchezo kuchezwa.
 
Back
Top Bottom