DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,472
- Thread starter
- #81
Ndiyo uhalisia. Mechi nyingi tu duniani zinachezwa bila mashabiki. Simba imecheza mechi mbili msimu huu bila mashabiki majukwaani. Leo hii vyura wanataka kuaminisha watu kuwa mechi inakosa uhalali kisa wametengeneza scene katika vichwa vyao ya kutokuwepo kwa mashabiki. Maajabu ya karne haya.😁😁 We unaongea kama nani ?