mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Mbona wale wapasha habari hawajaleta ripoti Kampeni imeendaje! Au wanashindwa kutupa kilichojiri kwa AIBU ya mwaka waliyoipata? CHADEMA kuja kufanya kampeni Zanzibar ni sawa na kutwanga maji katika kinu; kupoteza nguvu bila ya mafinikio.