Acha kutujazia bytes zetu na upupu wako. Shenzitype!Hivi credibilty ya yule kiongozi wa cdm mwenye kuendesha night club ikoje
Acha kutujazia bytes zetu na upupu wako. Shenzitype!Hivi credibilty ya yule kiongozi wa cdm mwenye kuendesha night club ikoje
hee! anaandika kule kisha anakopi na kupest huku duh ! bora umemshitukia ila aibu uuuuMkuu wewe ndio umeandika kule mzalendo.net kuwa CDM wanaenda kanisani? Kweli maiogopa CDM hadi mnatunga uwongo............? Poleni sana
Huko kushangila au kuzomea, dahhh, lazima mchakachuwe? sema kweli, mmezomewa mitaani.
Umeshasema kuwa tumezomewa. Sasa unataka picha za nini? Wacha kiherehere.Tunataka picha tuone magwanda na watu wao waliotoka nao huku na wale waliowafata kanisani kuwaomba wawasaidie.
Dk Slaa kama ni mkweli unayongea tunaomba Picha.WanaJF
Karibu tunaingia Uzini. Ratiba imebadilika kidogo. Tutaenda Bambi moja kwa moja kwenye msiba ambako bahati mbaya uko kwenye center tunakozindulia kampeni. Kwa kuwa si shughuli inaweza kuahirishwa tunaenda kwenye msiba badala ya kwenda ngome
Dk Slaa kama ni mkweli unayongea tunaomba Picha.
Sasa huyo sio kiongozi tunae mtaka,kiongozi ni yule aliyechaguliwa na wananchi wenyewe bila la kutumia rushwa na vishawishi vyengine,sera ya mgombea na cv yake ndio itakayo mfanya wananchi wamkubali,kama ni hivyo hasara ni wananchi sio CUF.Uchaguzi wa 2010 jimbo ambalo CHADEMA ilipata kura nyingi kwa Zanzibar yote ni Jimbo la Kiwani lililopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba, Shehia ya Mwambe, kura zilikua 400. Na kura hizi zote zilitoka katika kijiji kimoja cha Kiunga ambapo mgombea wake ni mfanyabiashara, katika kupata kura hizi mgombea huyo alitumia zaidi ya mil. 8 Tsh. Na sababu iyomfanya apate kura hizi; alitaka kumtia adabu mgombea wa CUF baada ya mgombea huyo wa CUF kukumbwa na kashfa ya kutembea na (.......). Ndipo mgombea huyo wa CHADEMA akaamua kumwaga pesa kwa tamaa ya kujinyakulia jimbo na badala yake alilia kilio cha mbwa na hadi leo hii hakupata wa kumnyamazisha! Huku Zanzibar hakuna CHADEMA wala CHAMSHIPI, na fujo zote hizo wanazozifanya na huku wakipigwa na baridi (nasikia wamejenga mahema kama vibarua wa karafuu) hawatozidi kura 32, tusubirini Aibu ya mwaka!
una kazi ngumu sana leo naona unaandika huku na huku wewe mnyewe halfu yale yale kwenye nyuzi tofauti na blog tofautiUchaguzi wa 2010 jimbo ambalo CHADEMA ilipata kura nyingi kwa Zanzibar yote ni Jimbo la Kiwani lililopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba, Shehia ya Mwambe, kura zilikua 400. Na kura hizi zote zilitoka katika kijiji kimoja cha Kiunga ambapo mgombea wake ni mfanyabiashara, katika kupata kura hizi mgombea huyo alitumia zaidi ya mil. 8 Tsh. Na sababu iyomfanya apate kura hizi; alitaka kumtia adabu mgombea wa CUF baada ya mgombea huyo wa CUF kukumbwa na kashfa ya kutembea na (.......). Ndipo mgombea huyo wa CHADEMA akaamua kumwaga pesa kwa tamaa ya kujinyakulia jimbo na badala yake alilia kilio cha mbwa na hadi leo hii hakupata wa kumnyamazisha! Huku Zanzibar hakuna CHADEMA wala CHAMSHIPI, na fujo zote hizo wanazozifanya na huku wakipigwa na baridi (nasikia wamejenga mahema kama vibarua wa karafuu) hawatozidi kura 32, tusubirini Aibu ya mwaka!
a doctor or politician? Umeacha wagonjwa wanakufa unakuja Jei efu? Kweli my daughter you are mama porojo!siasa za zanzibar si nyepesi kiasi hicho
Ahadi yangu ipo pale pale ujamalizia baada ya kutembea najiua kwa kunywa sumu au kujipiga risasi za kichwa.
Chadema kushinda Zanzibar ni ngumu sana ni sawa useme CUF kushinda ubunge Moshi Vijijini, na kuchukuwa viti vya Udiwani Kibosho.