mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
Nafasi ya CDM zenji ni ndogo sana kwa sasa kutokana na kusingiziwa udini. hata hivyo, hali inaweza kubadilika mwaka 2020 hasa kama CDM watashika dola (Tanganyilka) mwaka 2015
kamanda 30/01/2012 kwa 8:29 um · Ingia kujibu hao wana waraka wao
wamepewa na kanisa
ndio muongozo wao ,
na watu wa uzini
muwe makini ,
hao ni watu wabaya kuliko mnavofikiria,
ndio hao waliokasirika
na serikali ya
umoja .ndio hao
waliosema bungeni
serikali iwe moja , majambazi hao,
tena hata hapo
mkutanoni wekeni
simu zenu vizuri
hawaaminiki ,
na angalieni huyo mmoja kwa wake za
watu ni balaaa,
musiruhusu wake zenu
kwenda mkutano ni
hatari huyo,
.serikali zote wachukue wao sie watuachie hiyo
zanzibar yetu tu
wasituzngue hapa, miaka yote tunapigania
katiba, daftari,serikali
3,wao walikua wapi.
tunapigwa virungu
hapo peke yetu mbona
hawakutuletea hizo serikali tatu ?
Wanafiki hao ,
hawana lolote
wameona choyo sasa
hivi kuna amani na
umoja , washapata wasiwasi
kua kwa umoja huu
twaweza kupiga hatua
hapo baade ,
sasa linawauma hao
wala nguruwe.