Nimesoma na kuelewa na sasa nakupaushauri. Kama ifutavyo:
1. Kuna maswala matatu ambayo nayaona kujitokeza, kuna ex mchumba kujitoa uhai eti bcz amekosa penzi lako plus vikorombwezo ulivyoweka mfn kileleni n bla bla.
Pili ni ex kuwa 2nd wife na tatu 1.bln
2. Maswala mawili ya mwanzo yanaweza kuwa na chembe za uhalisia ila hili la tatu umelitia chumvi mno kiasi thread nzima imeingia ushuzi wa twiga ...watu wanakuona umeleta kahawa hapa MMU.
3. Point nayo iona kwako kwanza huna msimamo na ndoa yako, ulitendwa kama ulivyo dai ukajiuguza then ukaoa, sasa close comm na huyo mzungu mweusi ya nini!?, hata kama alikusaka yeye ilikuwa rahisi kumpa msimamo then ukakaa kando. Kingine unaonekana huna ufahamu na mambo ya pesa.
Kwa nchi hii 1bln ni hela ambayo mlolongo wake si mchezo kuna BoT wataingilia kati kuna usalama wa taifa, takukuru, international money traffic control sababu itakuwa ni transctn ya kutoka nje.. wataingia kati...wote ni kutaka kuthibitisha uhalali wa umiliki.
Amekaa nje kwa muda gani hizo pesa kazikusanyaje au ndio ile michezo ya kitoto mkopo wa nyumba then unatoka mbio. Siku nyingine sumbua bongo za wakuu kwa hoja maridhawa si ukweli kidogo kahawa kidogo unaudhi, thread inatuonyesha amekuwa mchepuko so unaendelea nae ndio ukuja kuomba ushauri...alaah
nina mashaka na hii hadhithi!