Tangu nianze kusöma story za JF, sijawahi kukutana na story ya kusadikika kama hii. Hata Shigongo hawezi kuichapisha kwenye migazeti yake ya udaku.
kesho nina meeting saa 8 nahisi nitashindwa kukutana na wewe
labda jion
hahahaha one billiona ina sifuri ngapi babu
Sifuri tisa mpenzi. Na umri wangu huu, changanya vimshahara vyangu vyote (ambao si wa kuchezea) na wa bibi yako (ambao si haba) na wa baba na mama yangu..... bado hiyo makitu hatuinusi.
Lakini mwenzetu wa Bongo movie anazawadiwa K kwa 1b mchana kweupeee. Hakyamama kuna wanaume wana mibolo ya dhahabu walah
hahahaha ndo ujue wajukuu zako wa kiume wanakuzidi iq lol
IQ ya vibolo.... keimamae zao!!
Kha! Bilioni moja hii hii hela ya madafu? Katoa wapi mpunga wote huo?
Sifuri tisa mpenzi. Na umri wangu huu, changanya vimshahara vyangu vyote (ambao si wa kuchezea) na wa bibi yako (ambao si haba) na wa baba na mama yangu..... bado hiyo makitu hatuinusi.
Lakini mwenzetu wa Bongo movie anazawadiwa K kwa 1b mchana kweupeee. Hakyamama kuna wanaume wana mibolo ya dhahabu walah
Hee na mimi nipo hapa fyatanga nakunywa supu...huyu anataja one billion kirahisi tuuuu!! Miwatu mingine banah!!lako kama la shaba utaishia kununua bia fyatanga tu!
hem pisha kwanza namtongoza The Boss .kumbe bilyoon inafaa enh?