Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

Wana MMU, Umuofia kwenu!
Kuna kisa kimenikuta nimeona sehemu pekee ya kupata ushauri na mawazo mapana ni kwenu!
Nilikuwa na mchumba ambaye tulikuwa tunapendana sana na muda si muda tungefunga pingu za maisha. Ghafla mwenzangu alipata safari ya kwenda Marekani na kuniomba tuahirishe zoezi mpaka atakaporudi kwani asingechukua muda mrefu.

Nikamkubalia; akakwea zake pipa na alipokuwa huko mawasiliano kwa njia za mtandao yaliendelea. Siku moja akaniambia hawezi tena kuolewa na mimi kwa kuwa alikuwa anataka kufunga ndoa na mtu mwingine. Nilisononeka sana kwa namna nilivyompenda, lakini nikawa sina namna zaidi ya kumtakia kila la heri katika mahusiano yake hayo mapya. Baada ya kuuguza maumivu, nikapata” material wife” na tukafunga pingu za maisha. Sasa nina miaka kadhaa kwenye ndoa.

Hivi karibuni aliyekuwa mchumba wangu karejea kutoka America na akanitafuta kwa udi na uvumba na akafanikiwa kunipata. Ananiambia bado ananipenda na yuko tayari kutoa gharama yeyote ili nimwache mke wangu.

Kaweka “one billion” nikamtolea nje! Nikamweleza namna ambavyo tunaishi na mke wangu na watoto kwa amani na kwamba nampenda mke wangu na watoto sana. Hivyo pendo langu kwake limeshapata replacement.

Baada ya majadiliano ya muda mrefu mrefu akarealize kwamba hawezi kunishawishi kwa namna yeyote kumwacha my beloved wife, akaingiza hoja nyingine ya kuwa second wife kwani hawezi kuishi bila mimi.

Na kwamba kama nikimkatalia na hilo basi hana haja ya kuendelea kuishi. Anasema kama pesa anazo lakini kakosa mwanamme aliyemwonyesha mapenzi ya kweli na aliyemfikisha kileleni kama mimi. Hilo ndo linanitisha nikaona niliweke kwenu wadau!

Karibuni kwa ushauri.

ebu mpe kamba tuone kama kweli atajitoa uhai
 
haka kastory kanatufundisha nn

Kanatufundisha kuwa Bukwabi amepewa ofa ya 1 Billion ili amwache mkewe na ameikataa..

Wewe ungeweza kumudu kukataa ofa kama hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Mpunga huuu ni noumer sana !

Ela ni shetani..uyo alijua mke wa mtu uko wamebwagana anakuja kukupa sifa za kjnga et ww ndo unamfksha kilimani cjui akupe 1billion cjui nn
Kua na msimamo mwanamme pesa na kulewesha sifa za kjnga ztakuponza kjana
Lea familia yk mkuu....yeye nw ndo hawez kuish bla ww???mbn miaka yt hyo aliyoondoka aliishije muulze
 
Huyu tayta huyu dah!
kijana ana post tatu tu....hii ni ya kwanza MMU...



AKIJICHANGIA HII MADA....Topic: Swali kwa waliooa/kuolewa



AKAONGEZEA...

ANGALIA MANENO YAKO YASIKUHUKUMU...

HAPA AKIMPIGA MKWARA MLA WAKE ZA WATU...KASAHAU YEYE ''MME WAS MTU''

AKIUNGA MKONO COMMITMENT YA NDOA...


mytake:ndoa na iheshimiwe nawatu wote...
 
Last edited by a moderator:
Nilisikia kwenye wimbo fulani hivi kwamba wasanii wa bongo kwa kuongeza 000 wanapenda sana video katolea laki 5 kwenye media anasema katolea milioni tano, nikafikiri labda hii nitabia ya wasanii kumbe haipo kwa wasanii tu.

Anyway, unataka tukusaidie nini wana- MMU, ikiwa sisi wenyewe tunashida na huyo bilioni, tunaitamani japo umeiandika kwa maneno.

All in all, kama thamani ya utu wako na mapenzi yako yaweza kununuliwa kwa pesa basi hiyo itakuwa ni nafasi ya pekee kwako kuchukua hatua, lakini kama ni kinyume na hapo embu chukua muda kujitafakari uone kama ukotayari kuuza utu wako kwa kidogo kitu, na kuleta mgogoro katika familia yako.
 
Ila wanaume ni viumbe dhaifu sn na rhs kuvteka kihisia yani kusfiwa tu kwmb ww ndo unamfksha bs ushalewa sifa za kijinga??Mwambie aiheshmu ndoa yako alaah!!
Kwanz kakudharau kakuona ww ndo wakula makombo ya mmewe walioachana? ama? Kaona ela umekataa ss anakulewesha na sfa za kjnga
 
Duh! BILLIONi moja!!?Ila huyo nimuharibifu mkuu achana nae mpende sana mkeo na watoto wako wala usihadaike
Wana MMU, Umuofia kwenu!
Kuna kisa kimenikuta nimeona sehemu pekee ya kupata ushauri na mawazo mapana ni kwenu!
Nilikuwa na mchumba ambaye tulikuwa tunapendana sana na muda si muda tungefunga pingu za maisha. Ghafla mwenzangu alipata safari ya kwenda Marekani na kuniomba tuahirishe zoezi mpaka atakaporudi kwani asingechukua muda mrefu.

Nikamkubalia; akakwea zake pipa na alipokuwa huko mawasiliano kwa njia za mtandao yaliendelea. Siku moja akaniambia hawezi tena kuolewa na mimi kwa kuwa alikuwa anataka kufunga ndoa na mtu mwingine. Nilisononeka sana kwa namna nilivyompenda, lakini nikawa sina namna zaidi ya kumtakia kila la heri katika mahusiano yake hayo mapya. Baada ya kuuguza maumivu, nikapata” material wife” na tukafunga pingu za maisha. Sasa nina miaka kadhaa kwenye ndoa.

Hivi karibuni aliyekuwa mchumba wangu karejea kutoka America na akanitafuta kwa udi na uvumba na akafanikiwa kunipata. Ananiambia bado ananipenda na yuko tayari kutoa gharama yeyote ili nimwache mke wangu.

Kaweka “one billion” nikamtolea nje! Nikamweleza namna ambavyo tunaishi na mke wangu na watoto kwa amani na kwamba nampenda mke wangu na watoto sana. Hivyo pendo langu kwake limeshapata replacement.

Baada ya majadiliano ya muda mrefu mrefu akarealize kwamba hawezi kunishawishi kwa namna yeyote kumwacha my beloved wife, akaingiza hoja nyingine ya kuwa second wife kwani hawezi kuishi bila mimi.

Na kwamba kama nikimkatalia na hilo basi hana haja ya kuendelea kuishi. Anasema kama pesa anazo lakini kakosa mwanamme aliyemwonyesha mapenzi ya kweli na aliyemfikisha kileleni kama mimi. Hilo ndo linanitisha nikaona niliweke kwenu wadau!

Karibuni kwa ushauri.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nashangaa, nahisi kwa mchumba wa America!

Unauwakika km ni kwa mchumba wa amerca??lbd alikua kwny madanguroo je??shauriro we chekelea pesa usisozijua mzizi wake ....na ht ukimulza hawez kukuambia ukwel katoa wp pesa zt hzo
THINK TWICE....na huwez jua value ya mkeo for nwmpk utakompoteza kwa ajil ya pesa ya kahaba uyo
 
Hahahahh....khaaaa! Jf kuna mambo na vijambo...
 
Sijui kwa nini huwa siamini katika mapenzi ya kurudiana. Especially iwapo mmoja ameshafanya maamuzi ya ndoa na mtu mwingine. Huwa naona kama ni usanii fulani hivi.

Hii style wanayo sana wanaume. Nafikiri watu wakishaachana basi kila mtu aendelee na ustaarabu wake. Kwa sababu kurudiana kwenu kutasababisha maumivu kwa watu wengi I.e mke/mume, watoto, familia kuyumba etc.

Pia huwa sioni mantiki, uliniacha kwa sababu unazozijua wewe. Ghafla nakuwaje mwema kwako! Wakati mimi ni yuleyule sijabadilika chochote!!!!
 
acha sifa za kijinga kijana utaumia. yaan huon aibu kuja kudanganya wakubwa hapa. eti 1 billion mara ww ndo unamfkixha kileleni .
unavyoonekana una njaa hata laki 6 ungemfukuza mke wako.
uxhauri: nenda kwa shigongo maana unawered kiac wa kutunga stori.
AFRICA
 
Nahisi wewe ni Mhaya, maana mnavyopenda sifa!!!! eti hajawahi kufikishwa kileleni, na hiyo ya madafu ni billion au bill on??? Mambo mengine muwe mnawashirikisha wa kwenu Bukoba. Halafu rudi facebook huku si kwako.
 
Back
Top Bottom