flyn ryder
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 656
- 86
Hebu niambie, nani mkali wako kati ya hivyo vichwa hapo juu?
Mimi kiupande wangu Mtiga anatisha.
Mimi kiupande wangu Mtiga anatisha.
Moody ni nooma ila mi namkubali mgote
nyie msmpimie mtiga bwana yule mtu hatar sana....
vijana wa mchikichini... vp aiden bado yupo!!??
cjawahi watumia wote hao na bado ni katoka vizuri...nashukuru walimu wangu washuleni ambao walijitoa kuhakikisha tunafaulu na kweli tulifaulu bila kupita mchikichini....hebu niambie nani mkali wako kati ya hivo vichwa hapo juu..mm kiupande wangu mtiga anatisha.
Mtabe wa wote hao ni Kihombo tu.Mgote yeye amemeza madude tu,Moddy ni flag tu labda Mtiga ndo huwa nasikia ni mkali mkali.
mtiga mwisho, nimepata bahati ya kupitia kwa walimu hao wote, mudy physics mkali o-level, side kama unataka notes ila c maelezo ya kina, mtiga kama unataka kujua physics a level kiundan !
Upo sawa..ukitaka kujua phy sio kukariri piga pindi la mtiga then notes kachukue kwa mgote