Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
Jaji: suala la ugaidi limeshika kasi lakini inavyoonyesha mazungumzo hayo hayaelewi madhara yake na mapana yake. Utalii na.uchumi utaathirika. Inaweza kuleta madhara kw nchi pasipo kuwa na ulazima wowote

Hili la msingi sana! Watu wanakimbilia kutuhumu ugaidi bila kujua madhara yake. Kuna rafiki yangu mmoja alisha wahi kuandika "ccm na polisi (policcm) wanavyopenda kusingizia ugaidi siku ukitokea ugadi wa kweli watashindwa kutofautisha"
 
Huyu jaji mjinga sana,anazunguka point,yeye aseme tu wako huru kuliko kutupotezea wakati.
 
Hili la msingi sana! Watu wanakimbilia kutuhumu ugaidi bila kujua madhara yake. Kuna rafiki yangu mmoja alisha wahi kuandika "ccm na polisi (policcm) wanavyopenda kusingizia ugaidi siku ukitokea ugadi wa kweli watashindwa kutofautisha"
Ni aibu kwa taifa kupandikiza ugaidi ambao haupo
 
Hili la msingi sana! Watu wanakimbilia kutuhumu ugaidi bila kujua madhara yake. Kuna rafiki yangu mmoja alisha wahi kuandika "ccm na polisi (policcm) wanavyopenda kusingizia ugaidi siku ukitokea ugadi wa kweli watashindwa kutofautisha"

Jaji yuko fair analaumu waendesha mashtaka kwa kuandaa mashtaka na kuingiza ugaidi bila lazima
 
Jaji anaongelea suala la Ugaidi. Anasema hili suala la ugaidi limeshika kasi na linazungumzwa kwa mapana na marefu ndani na nje ya nchi.anaongeza kwamba suala hili tusipokuwa makini litaleta madhara makubwa kwa nchi. Anasema hili neno la ugaidi halitafsiriwi sawasawa na anasisitiza ni lazima Taifa liwe makini.

anafafanua sheria ya ugaidi. Anasema ilitokana na ugaidi uliotokea zamani na madhumuni yake ambayo ni masuala ya kimataifa.

Anaongeza kusema kwamba nk vizuri kabla hawajapeleka mashtaka. Anasema siyo kila kinachotokea wakimbilie kwenye ugaidi. Anasema ni vizuri wajikite kujifunza namna ya kuandaa au kutengeneza hati za mashtaka. Anataja vifungu vinavyofafanua hati hizo za mashtaka.
Jaji anaendea
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom