Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Kutoka mahakama kuu Tabora Live

Status
Not open for further replies.
bado tunakutemea kutujulisha mambo yanavyokwenda mimi niko huku Gurment national park leo nimecha kufanya kazi ya kupiga picha kwa ajili ya kufuatilia kesi hiyo ya makamnda
 
Leo ndio fate ya Kamanda Kilewo na wenzake. Tunamuomba Mwenyezi Mungu Jaji afanye maamuzi ya haki kuwafutia mashtaka ya ugaidi

Ugaidi Tanzania????? Yaani ni kama tunamdhihaki Mungu kwamba nasisi tunapenda nchi yetu ikumbwe na Ugaidi kwakweli
 
Jaji anasema kuhusu uwezo wa mahakama za chini kutengua makosa makubwa ni wazi kabisa kwamba mahakama kuu ndiyo yenye uwezo na mamlaka kwenye makosa makubwa kama haya ya ugaidi..Jaji anaendelea kufafanua
 
Mkuu Colombia tunashukuru kwa kanzi nzuri unayofanya
 
Ugaidi Tanzania????? Yaani ni kama tunamdhihaki Mungu kwamba nasisi tunapenda nchi yetu ikumbwe na Ugaidi kwakweli

Tatizo kubwa liko kwa watawala ambao wamesahau majukumu yao ya msingi na kuendekeza mipasho na ushabiki wa mambo ya kijinga yanayoendelea kuzorotesha uchumi na maisha ya Mtanzania.
 
Jaji: suala la ugaidi limeshika kasi lakini inavyoonyesha mazungumzo hayo hayaelewi madhara yake na mapana yake. Utalii na.uchumi utaathirika. Inaweza kuleta madhara kw nchi pasipo kuwa na ulazima wowote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom