Nicky Mkinga
Member
- Apr 6, 2012
- 54
- 18
Mungu atasimamia sehemu sahihi
mkuu Mwigulu Nchemba ndio anatufanya tuichukie siasa kwa matendo yake ya kishetani!Politics! Wakati mwingine nachukia siasa. Hakuna lolote zaidi ya siasa!
Jaji anasema, akianzia na ombi la kwanza, katika suala la masahihisho, ametaja vifungu ambavyo vunaipa mahakama madaraka kuu.anatoa mwongozo kuhusu maamuzi yaliyofanywa na hakim mkazi
vita ya ukombozi inapitia mateso mengi lakini mwisho ya yote huwa ni furaha kwa watakaokuwa hai, hata sisi tunaotumia laptop kufikisha ujumbe tutegemee kusumbuliwa kabla ya 2015,lakini tusikate tamaaWatuhumiwa ambao ni makada wa CHADEMA wameshawasili wakiongozwa na Henry Kilewo na wenzake.mawakili wa pande zote nao wapo. Jaji ndo anasubiriwa
Kweli mkuuvita ya ukombozi inapitia mateso mengi lakini mwisho ya yote huwa ni furaha kwa watakaokuwa hai, hata sisi tunaotumia laptop kufikisha ujumbe tutegemee kusumbuliwa kabla ya 2015,lakini tusikate tamaa
Colombia endelea kutujuza
Jaji katupilia mbali maamuzi ya Hakimu