Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

Kwa situation ya SASA DG wa TISS ana rank ndogo katkika vyeo vya jeshi la Polisi (yeye ni kamishna). Ikitokea akapewa KAZI ya Sirro..ataongezewa cheo na Kuwa IGP cheo ambacho mara nyingi anakua nacho mmoja tuu(Kwa SASA ni wawili) Mangu na Sirro ingawa Sirro ndio kiongozi wa Jeshi Kwa SASA.
Uko sahihi
 
Wote hawa wanampigia salute polepole na msiba.
Nani mwenye cheo kikubwa? Je, mtu kwa mfano akitolewa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS na kupewa U-IGP inakuwa imekaaje? Je, anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!

===
 
Kwa situation ya SASA DG wa TISS ana rank ndogo katkika vyeo vya jeshi la Polisi (yeye ni kamishna). Ikitokea akapewa KAZI ya Sirro..ataongezewa cheo na Kuwa IGP cheo ambacho mara nyingi anakua nacho mmoja tuu(Kwa SASA ni wawili) Mangu na Sirro ingawa Sirro ndio kiongozi wa Jeshi Kwa SASA.
Ndani ya jeshi la polisi hakuna cheo cha IGP.
IGP ni cheo cha Madaraka na sio Cheo cha kimuundo ndani ya jeshi la polisi.

Cheo ndani ya jeshi la polisi kinaishia kamishna,kama ilivyo ndani ya jeshi la wananchi wa Tanzania cheo cha mwisho ni General(4 star General),CDF ni cheo cha madaraka ndani ya jeshi.

Majeshi yote ukiondoa Jeshi la wananchi wa Tanzania yaliyobaki vyeo vyao vinakomea U kamishana.
Yaani commmisioner of Police, Commissioner of Prison, Commission of Immigration, Commissioner of Fire nk.
 
Nani mwenye cheo kikubwa? Je, mtu kwa mfano akitolewa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS na kupewa U-IGP inakuwa imekaaje? Je, anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!

===

IGP ni mkubwa kuliko Mkurugenzi wa TISS
Huyu wa TISS anaitwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama
Rejea neno Idara.....miaka ya nyuma ilikuwa idara ndani ya Jeshi la polisi
Kiutendaji huyu wa Idara anaweza kuwa na nguvu kubwa maana kazi na majukumu yao
 
IGP ni mkubwa kuliko Mkurugenzi wa TISS
Huyu wa TISS anaitwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama
Rejea neno Idara.....miaka ya nyuma ilikuwa idara ndani ya Jeshi la polisi
Kiutendaji huyu wa Idara anaweza kuwa na nguvu kubwa maana kazi na majukumu yao
tumia neno ushawishi,italeta maana zaidi.
 
IGP ni mkubwa kuliko Mkurugenzi wa TISS
Huyu wa TISS anaitwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama
Rejea neno Idara.....miaka ya nyuma ilikuwa idara ndani ya Jeshi la polisi
Kiutendaji huyu wa Idara anaweza kuwa na nguvu kubwa maana kazi na majukumu yao

Mkuu unaota..

Yani Siro awe juu ya Diwani, bado haiingii akilini...
 
Ukiangalia ukaaji kwa zama hizi utachemka,nakumbuka enzi mwana pendwa wa DSM kabla ya Sasa alikuwa kwenye ukaaji ni karibu zaidi ya Magu.Na yeye ni RC tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea ukweli sikupingi, ila kuna mchangiaji mmoja amesema kuna "cheo" na "madaraka"
Huenda huyo RC unayemuongelea alikuwa na cheo kidogo, lakini labda alipewa madaraka makubwa kuzidi cheo chake.
 
Mimi ninavyoona kwa mtazamo wangu, DGIS au Mkurugenzi wa Idara ya usalama wa Taifa (TISS) yupo juu ya IGP kimamlaka, madaraka na majukumu.

Kwasababu ndani ya idara yake kuna; polisi, wanajeshi, mashekhe, mapadre n.k wote anawaongoza.

Hata ukichambua maana ya "Usalama wa Taifa" ni kulinda serikali na Rais, (kama hakuna serikali wala rais basi hakuna nchi)

Na ukichambua maana ya "Jeshi la Polisi" ni kulinda raia na mali zao, (kama raia na mali zao hawana ulinzi basi itaendelea kuwa nchi lakini hakuna amani).

Kwa hivyo mimi kwa mtazamo wangu naona DGIS ana kazi kubwa kuliko IGP.
Ila kiitifaki ndio sijajua kwanini IGP anaanza kabla ya DGIS.
Nawasilisha.
 
IGP yuko juu, miaka 20+ nyuma TISS haikuwepo isipokuwa ilikuwa ni tawi maalumu la jeshi la polisi, alivyoingia Rais Mkapa ndio hii Taasisi ikaundwa na kutolewa jeshi la polisi na kuanza kujitegemea na vilevile ikahamishiwa wizara ya utumishi na utawala bora,

Kwa hiyo mtu wa TISS anaweza kufanya kazi jeshi la polisi hususani kwenye upande wa kukusanya taarifa na kuzichambua (UPELELEZI) na vilevile mtu mwenye taaluma ya upelelezi wajeshi la polisi anaweza akafanya kazi TISS kama kutakuwa na tofauti ya kazi zao basi ni kidogo sana.
Kana hujui historia ya mi busara kukaa kimya na sio kuandika UTOPOLO
 
Acheni umbulula usalama ni kaidara kadooogo tu usione watu wanajitutumuuuua unawezaje kuifananisha na polisi, by the way sio jeshi wao ni idara ,uelewe ni kama uhamiaji tu ni idara ndiomaana juzi wakaleta muswada Bungeni zimamoto na uhamiaji watambulike kama majeshi yanayojitegemea , kwahiyo idara na Jeshi ni vitu viwili tofauti kabisaaa
 
Back
Top Bottom