Hawa ndio watu 3 pekee wanaoendesha Tanzania wengine wote ni wafuata maelekezo!

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,798
28,461
1704202082068.png


1.Rais wa Nchi,

MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu​

-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi
1704202661229.png

2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
1704202929207.png

3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania

-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi

**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.

***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.
 
View attachment 2860143

1.Rais wa Nchi,

MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu​

-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi
View attachment 2860147
2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
View attachment 2860150
3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania

-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi

**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.

***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.
Dah
Huruma kwako usiyeelewa
 
View attachment 2860143

1.Rais wa Nchi,

MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu​

-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi
View attachment 2860147
2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
View attachment 2860150
3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania

-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi

**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.

***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.
Na Deep state wanafanya kazi gani!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2860143

1.Rais wa Nchi,

MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu​

-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi
View attachment 2860147
2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
View attachment 2860150
3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania

-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi

**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.

***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.
Ongezea na Tiss Director na CDF
 
Back
Top Bottom