Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,798
- 28,461
1.Rais wa Nchi,
MHE. Samia Suluhu Hassan -Rais wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu
-Yeye jukumu lake kubwa ni ku control hali ya Usalama na Siasa ndani na Nje ya Nchi2.Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi
-Yeye ni Katibu wa Rais na Mkuu wa Utumishi wa Umma-anaratibu shughuli zote za serikali ikiwemo Ulinzi na Usalama na DG wa TISS ana report kwake (kiufupi huyu jamaa ndio Nchi);na
3.Emmanuel Mpawe Tutuba-Governor wa Bank kuu ya Tanzania
-Kama Gavana wa Bank kuu kazi yake kubwa ni ku Control Uchumi wa Nchi
**Hawa ndio watu 3 pekee wenye nguvu wanaoendesha Nchi;ukiona Nchi imestawi au imekwenda mrama wahusika ni hao 3 kwa kupongeza au kulaumiwa hasa hasa Dkt. Moses Mpogole Kusiluka-Katibu Mkuu Kiongozi maana yeye ndio think tank ya Nchi.
***Wengine wote mnawajua ninyi na vyeo vyao,Waziri Mkuu,Spika,Jaji Mkuu,Mwanasheria Mkuu, CDF,TISS DG ,CAG & IGP kwa muundo wa kiutendaji na kisiasa katika hii Nchi wana operate katika maamuzi ya hao 3.