technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Nani mwenye cheo kikubwa? Je, mtu kwa mfano akitolewa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa-TISS na kupewa U-IGP inakuwa imekaaje? Je, anakuwa kapanda cheo au kashushwa cheo nani mkubwa kati ya Mkurugenzi wa TISS na IGP maana duh.!
===
===
Hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama
P
- Top Mkuu wao ni CinC- Amiri Jeshi Mkuu
- CDF ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- DGIS ni Mkuu wa jeshi la usalama
- IGP ni Mkuu wa jeshi la polisi
- Commissioner of Magereza
- Commissioner of Uhamiaji
- Commissioner of Zimamoto
- Commissioner wa Tume ya madawa kulevya