ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,901
- 3,858
Ni watu wa aina tatu wanashabikia CCM.Ni kuumia roho au kuhurumia wajinga wasiojitambua. Ni mpumbavu peke yake anayeweza kuunga mkono upumbavu unaofanywa na CCM kupitia mnada wa akina Mtulia! Hizo bilioni zinazoteketea huko Kinondoni leo zingefanya mambo mangapi? Wiki hii magazeti yametumia picha za shule watoto wanaketi chini na shule nyingine mbavu za mbwa hata watoto wamelazimika kukaa chini ya miti kuepuka kudondokewa na hilo jengo la mbavu za mbwa, halafu wajinga nyie mnashinda mitandaoni bila aibu kushangilia upumbafu huo kwa malipo ya makombo mnayorushiwa ...ovyooo kabisa nyie watu!
1. Wachawi ( aliyekuwa yuko tayari mukose nyote kwa vile yeye hana muelekeo) 82%
2. Chizi (Including walevi na waliokosa razi za wazee) 10%
3. Wanaonufaika directly or indirectly 8%